Dk. Tulia asota Dodoma

Hicho kitabu wamegoma kuchukua lakini kesho utasikia wanauliza maswali kutokana maelezo ya kitabu hicho hicho.
Mkuu, wewe pia si mbunge na haupo bungeni. Je, huruhusiwi kutoa maoni yako kuhusu kinachoendelea bungeni, kama vile bajeti?
 
Huyu Tulia atakoma... Naona BUNGE litampiga chini...!! Hii watu wanaona kama utani, wee subiria, itakuwa kama KITWANGA FULANI HV... utasikia tu NAIBU SPEAKER CHALI... katolewa..!!

Na tayari Tulia yuko frustrated mno, hana amani, anajua moto unamjia..!!
 

Thread ya ajabu sana hii.... Sasa hapa Dr Tulia amesota nini...??!!! Na wanapogomea kitabu nani anasota? Anayekosa taarifa au mwenye taarifa??? UKAWA wanajitekenya wenyewe na wanategemea wacheke!!!! Very childish behavior ....
 
Hatujaanza mikutano meanza kuweweseka je tukianza.? Kweli maigizo hayalipi
Hicho kipondo cha kahama ilikuwa na kwenye shererhe ya kuchezwa mwali Mbowe wala si mkutano. Kwani Mbowe alikuwapo Kahama. Sasa tuambie alikuwa huko kama mwali?
 
Mwakyembe yule yule au huyu mwingine? Yule wa mabehewa fake?
 
Nadhani Haja-tulia ndio mtu anayeongoza kwa kuchukiwa na watu wengi nchini.
 
73. Wabunge wote wa aina zote watashika madaraka yao kwa mujibu wa Katiba hii, na watalipwa mshahara, posho na malipo mengine kwa mujibu wa sheria iliyotungwa na Bunge.
bogus KUB! they better get cognizant, the Kikwete. Makinda era gone forever!
Angalia mkuu, matusi haya
 
Hicho kitabu wamegoma kuchukua lakini kesho utasikia wanauliza maswali kutokana maelezo ya kitabu hicho hicho.
Of course.

Prof. Maji Marefu atawapelekea.
 
Nonsense . Hata kama Dr Tulia ana makosa wanaume wazima hawatakiwi kutoa psychological torture dhidi Ya mama katika jamii namna hiyo. That's imaturity na wanaonyesha jinsi wasivyoweza kumanage mambo na ku harmonise issues. Hawa Watu mnawashangilia lakini ni majanga Kwenye jamii we have to stand up for this.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…