Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
- Thread starter
-
- #61
Kondakta umedhurika na upepo wa gari la mwendo kasi nini mbona umetafsiri ndivyo sivyo au ni ile ajali mliopata imekuchanganyayes indeed! UKAWA = umoja kamili wa WALA POSHO
Kweli dereva amewaharibu makondakta wake gari la mwendo kasi siyo zuriKatika maelezo yako na hii hafla naibu spika amehusika vipi, au ni usingizi wa mchana?
Serekali ya mwendo kasi mkuuJamani hiyo sukari itashuka lini? si nililisikia serikali imeagiza nje vip?
Posho siyo Demokrasia inayogandamizwa
Posho wanchukua mkuu kwa mujibu wa ibara ya 73 ya katiba vipi ulitaka apewe mkeo ambaye hata katiba ya 73 haimtambui?[/Q
nilitaka apewe mama ako ambae hata maana ya bunge live hajui
Swari ndio nini Kilaza wewe?hujajibu swari uliloulizwa au ndo ukilaza wenyewe?
Kila anapokuwepo Dk. Tulia, Ukawa wanaondo na hata kusababisha protokali kuvurugika. Ni kwa kuwa, Ukawa wameweka msimamo wa kutoshirikiana ama kutoshiriki shughuli ambayo yeye (Dk. Tulia) anashiriki.
Hivi ndivyo ilivyotokea leo katika ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma muda mfupi baada ya Kasimu Majaliwa, Waziri Mkuu kumaliza kuzindua Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano.
Baada ya Waziri Mkuu kumaliza hotuba yake na kufuatia zoezi la ugawaji vitabu vinavyoelezea mpango huo kwa ajili ya kujisomea katika taasisi na baadhi ya viongozi mbalimbali.
Katika uzinduzi huo mshehereshaji aliyefahamika kwa jina moja la Mzee Mavunde, alianza kuita viongozi mbalimbali ili kuchukua vitabu kwa ajili ya taasisi ama makundi yao.
Ulipofika wakati wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kwenda kuchukua kitabu kuwakilisha kambi hiyo, mshereheshaji alimwita mnadhimu mkuu wa kambi hiyo ambapo hakutokea.
Baada ya kuonekana kwamba, hakuna anayejitokeza kupokea kitabu hicho, haraka haraka Steven Hillary Ngonyani,Mbunge wa Korogwe Vijijini maarufu kwa jina la Prof. Maji Marefu alichomoka moja kwa moja na kwenda kupokea kitabu cha mpango huo wa miaka 5 kwa niaba ya kambi ya upinzani bungeni.
Kitendo hicho kiliwafanya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambao walikuwa ukumbini hapo pamoja na wageni wengine kuangua kicheko.
Ukawa wamekuwa wakitoka bungeni pale Dk. Tulia anapoongoza bunge hilo. Hatua hiyo inatokana na malalamiko yao kwamba, kiongozi huyo wa Bunge anaendesha taasisi hiyo kwa kupendelea CCM.
swari maana ake nini mbumbumbu wewe?unadandia tu hoja kuchangia kwenyewe empty kutofautisha R na L haujui?Sasa kwenye hii mada umechangia nini Kilaza wewe ?nonsense
na walichokichukua awatokisoma.Hicho kitabu wamegoma kuchukua lakini kesho utasikia wanauliza maswali kutokana maelezo ya kitabu hicho hicho.
Hicho kitabu wamegoma kuchukua lakini kesho utasikia wanauliza maswali kutokana maelezo ya kitabu hicho hicho.
umeaza kufundisha kiswahili tena?swari maana ake nini mbumbumbu wewe?unadandia tu hoja kuchangia kwenyewe empty kutofautisha R na L haujui?Sasa kwenye hii mada umechangia nini Kilaza wewe ?
Hoja yako wewe nini zaidi ya kuwaita wenzio vilaza?Kwani Kilaza maana ake nini mtu asiyejua kutofautisha L na R unamwitaje?Mada inazungumzia nini na wewe umechangia nini?Mchango tu wa mtu na jinsi anavyochangia inatosha kujua who is he or she? so kabla haujamuita mtu Kilaza angalia the way he/she urgue mburula weweumeaza kufundisha kiswahili tena?
Hoja yako wewe nini zaidi ya kuwaita wenzio vilaza?Kwani Kilaza maana ake nini mtu asiyejua kutofautisha L na R unamwitaje?Mada inazungumzia nini na wewe umechangia nini?Mchango tu wa mtu na jinsi anavyochangia inatosha kujua who is he or she? so kabla haujamuita mtu Kilaza angalia the way he/she urgue mburula wewe
Kwani mkiwa kwenye basi linaloendeshwa na dereva wa mwendo kasi je mnaonaga chochote nyie si ndio mzeei don see any point across ur lines,
Wanaume na mdevu yao wanatoka nje ya ukumbi kumuogopa mwanamke???? Acheni mambo ya kiliberali buanaNdio mnayopanga kwenye basi la mwendo kasi?
Hicho kitabu wamegoma kuchukua lakini kesho utasikia wanauliza maswali kutokana maelezo ya kitabu hicho hicho.
Mbona mnalilia tukate rufa?Wanaume na mdevu yao wanatoka nje ya ukumbi kumuogopa mwanamke???? Acheni mambo ya kiliberali buana
Mahamuma kama wewe hauwezi kuona chochote nenda kalegeze suruali na ikibidi kale bangi kabisa, unafikiri hapa ni jukwaa la bongo flava, ila angalia tu usije ukaanza kula nyungai don see any point across ur lines,
slaa alikuwa ccm padre muasi wa kanisa katoliki