Dk. Tulia asota Dodoma

So hili linamwathiri vipi Dr Tulia? Wala halimwathiri kwa lolote. Mnazidi kumpa umaarufu tu.


 
anatumika vibaya hyu dada ila mda ukifka ccm watamtupa mbal kama toilet paper
 
umeaza kufundisha kiswahili tena?
Hoja yako wewe nini zaidi ya kuwaita wenzio vilaza?Kwani Kilaza maana ake nini mtu asiyejua kutofautisha L na R unamwitaje?Mada inazungumzia nini na wewe umechangia nini?Mchango tu wa mtu na jinsi anavyochangia inatosha kujua who is he or she? so kabla haujamuita mtu Kilaza angalia the way he/she urgue mburula wewe
 

i don see any point across ur lines,
 
Hicho kitabu wamegoma kuchukua lakini kesho utasikia wanauliza maswali kutokana maelezo ya kitabu hicho hicho.

we Lofa Wa Lumumba, hiyo picha ya Dr Slaa itoe unamdhalilisha bora uweke ya kinana katibu wako Wa chama
 
i don see any point across ur lines,
Mahamuma kama wewe hauwezi kuona chochote nenda kalegeze suruali na ikibidi kale bangi kabisa, unafikiri hapa ni jukwaa la bongo flava, ila angalia tu usije ukaanza kula nyunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…