Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,346
- 9,889
Anajifanya mjuaji sana huyu..wakati hamna kitu
Ikitokea Dr. Tulia ndio ameshinda Uspika, naomba kuwahakikishieni, haitakuwa ni kwa sababu ya kubebwa, bali huo ndio mpango wa Mungu kwa Tanzania kwa mujibu wa sauti hiiWiki iliyopita, waandishi wetu DEUS BUGAYWA NA JOHN DANIEL, walifanya mahojiano maalumu na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson, ambaye, pamoja na mambo mengine, alifafanua tuhuma kwamba amebebwa kufikia nafasi hiyo. Endelea
Raia Mwema