Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,707
- 272,594
Ninayo orodha ya watu 200 maadui hatari wa nchi hii , majina ya hawa wawili yamo !
CCM baada ya kuona maji yamefika shingoni, inawakumbatia matajiri kama akina John Cheyo na wenye private schools kama akina mama Lwakatare ili kukabiliana na CHADEMA.
Katika watu ambao hawatataka CHADEMA ishike dola ni watu sampuli ya Mch. Lwakatare. Ni vyema tukaanza kuwaorodhesha maadui zetu. Adui yetu sio CCM pekee - anyone siding with CCM ni adui yetu!