Bwana John Tendwa, ni mtu anayejiona kuwa yuko juu ya kila kitu when it comes to vyama vya upinzani. Jamaa ananyodo huyo, na hastahili hasa kuwa katika nafasi kama hiyo alonayo. Nafikiri nafasi hiyo inafaa akateuliwa mtu mwingine na ambaye ataidhinishwa na bunge. Lakini, kwa ufupi huyu jamaa hafai, hafai,hafai, japo kwa kulumangiwa kwa ugali.