wenzenu wanapiga mabillion ya hela nyie mnakaa kushabikia CCM miaka nenda rudi kama ma-mbururazi.....Wenye wake zenu huko Kimara, wafungieni ndani hadi huo mkutano uishe.
wenzenu wanapiga mabillion ya hela nyie mnakaa kushabikia CCM miaka nenda rudi kama ma-mbururazi.....Wenye wake zenu huko Kimara, wafungieni ndani hadi huo mkutano uishe.
Inaonyesha jinsi akili yako ilivyokuwa fupi kumbe muda mwingine huwa tunajibishana na mazoba humue pole lakini ukweli ndio huo wewe siii sawa.
si bure wewe utakuwa mdau wa mombasa kwa hiyo si makosa yako.
safi sana , CHAMA CHA SIASA NI MABARABARANI NA MAJUKWAANI - JK NYERERE .
Mbona unapagawa hivi?
Yeah! Mombasa Ukonga Dsm.
Nakala ya post hii iwafikieUnajua sina nafasi kiuongozi ndani ya Chadema/Ukawa lakini ningekuwa nayo ningependekeza ifanyike crash program ya ziara katika majimbo ya wale wabunge waliokuwa watetezi wa mafisadi wa Escrow Acct ili kuwaonyesha wananchi wajue ubaya wa waliowachagua na athari zake.
Lakini najua wapo wenye maamuzi wanasoma tuandikayo humu hivyo wachukue hatua mara moja.