Dk. Slaa atikisa


Ahsante Kwa taarifa! uzush huu umepelekea usumbufu mkubwa sana kwa wanachama wetu! wa2 wamejawa na hofu kubwa sana dhd ya huo huzush
 
Haya magazeti huwa hata hayanunuliwi na habari zake ndiyo hizi
 

Asante mkuu, tukutane october kumpeleka Dk. Magufuli ikulu.
 
Kama ni kweli Dr Slaa mdini anambagua Lowassa kwakuwa sio dhehebu lake.nenda Dr kapumzike kwa amani
 
Hayo ndio maneno ambayo ccm wanapenda sana umma uyasikilize. Kufeni peke yenu na kujanaa kuwa wapinzai, cdm wamesema bado ni wamoja. Zile sheria kandaminzi ambazo mlidhani zitawabana wapinzani sasa ztawabana nini mkiwa wapinzani.Mtajiju kweli ccm

Chadema hawataki kusikia Dr Slaa amejiuzulu,Chadema wamesahau kuwa binadamu kambwa kwa heshima yake,Dr slaa anaona bora alinde heshima yake,apumzike siasa badala ya kulinadi lile FISADI NAMBA MOJA HAPA NCHNI TANZNIA lililo hamia chadema
 
raia tanzania ni magazeti ya kuuzia maandazi.
ulitegemea gazeti la ccm liisifu chadema??never.

dr.slaa yuko palepale

Upo katika stage ya denial .. Subiri dawa ikuingia sawasawa ... Ndo utakubali lisemwalo lipo
 
Raha ya siku hizi ni kwamba media za habari ni nyingi, pili wananchi wanajua vyombo vya habari vipi vinatumiwa.

Ukitambua hili, huwezi kuwa na hofu kama mnayotaka kuaminisha watu!
 
Chadema hawataki kusikia Dr Slaa amejiuzulu,Chadema wamesahau kuwa binadamu kambwa kwa heshima yake,Dr slaa anaona bora alinde heshima yake,apumzike siasa badala ya kulinadi lile FISADI NAMBA MOJA HAPA NCHNI TANZNIA lililo hamia chadema

Ni wewe huyu huyu uliyekataa kuwa siyo fisadi, alipokuwa CCM!
 
Chadema hawataki kusikia Dr Slaa amejiuzulu,Chadema wamesahau kuwa binadamu kambwa kwa heshima yake,Dr slaa anaona bora alinde heshima yake,apumzike siasa badala ya kulinadi lile FISADI NAMBA MOJA HAPA NCHNI TANZNIA lililo hamia chadema
Jk ndiyo fisadi,kama sio ampeleke Lowasa mahakamani
 
Issue ya Lowassa kuhamiaCDM nayo ilianza kama tetesi huku tukihakikishiwa kuwa ni propaganda tu za magamba....! Any way time will tell let us wait.

Ni incomparable situation kabisa!!

Tetesi za Lowassa kuhama au kuachana na CCM zilianza mapema mara baada ya CC ya CCM kuja na "top five" ya akina Membe, January, Asha Rose, Magufuli na Amina Salumu kwenda Halmashauri kuu.

Watu wakawa na tumaini kuwa labda kikao hicho kingeweza kushinikiza ili maamuzi ya CC yatenguliwe na ushahidi ni matukio ya baadhi ya wajumbe wa HK kumwimbia mwenyekiti wao JK nyimbo za kumsanifu pamoja na wale wajumbe watatu wa CC kuonesha kutokukubaliana na utaratibu uliotumika kuwapata hao top five kwamba ulikiuka kanuni na misingi ya katiba ya chama chao!!

Hali ikawa tofauti, ikawa ileile, mchakato uliendelea pasipo jina la Edward Lowassa hadi wakapata "top three" lakini this this time wakidhani ni njia ya kumridhisha EL na wafuasi wake, Member akakatwa pia ktk steji ya kikao cha HK!

Kwa tuliofuatilia mchakato huo wa CCM wa kumpata mgombea Urais wao kwa njia mbalimbali ikiwemo mitandao ya kijamii na Television, tulimwona Edward Lowassa kwa mara ya kwanza tangu baada ya kwisha kwa zoezi la kusaka wadhamini akiwa mbele ktk session hatua ya mkutano mkuu amenuna na lugha ya mwili wake ikionesha wazi kuwa huyu yupo pale kimwili tu lakini akili yake iko mbaaaali, kwingine kabisa. Tena uwepo wake pale ni wazi ilikuwa ni kwa heshima ya watu Fulani tu!!

Tuliambiwa kuwa baada ya session ya kwanza (wakati wale top three wakiomba kuchaguliwa na kisha upigaji kura), jamaa hakurudi tena wala kusema lolote hadi mkutano mkuu unafungwa na ktk uzinduzi wa ilani yao ya uchaguzi!

Wenye akili tulijua CCM kuna mpasuko unainyemelea. Tulijua kuwa huyu bwana aidha atalisanua akiwa humohumo CCM au atahama chama.

Possibility kubwa ni kuwa watu tulikuwa tunafikiria atakwenda ACT ya ZZK kwa sbb tayari alishakaribishwa na uvumi uliokuwa unaenezwa mapema ni kuwa yeye ndiye mfadhili wa chama hicho. Hakuna aliyedhani (I stand to be corrected) kuwa atahama na kwenda CHADEMA.......hii ni wazi ilikuwa ni surprise!!

Kwa hiyo situation ya Dr Slaa na EL ni tofauti kabisa. Sawa na uniambie leo kuwa Abdulhaman Kinana ahame CCM aende chama kingine chochote sema hata CHADEMA kwa sbb zozote zile. Hili haliwezi kutokea ktk siasa za kiafrika na especially hizi za kwetu za kibongo!!
 

Acha the propaganda mfu. CHADEMA ni mpango wa Mungu, LOWASSA ni tumaini jipya la watz na UKAWA ndio njia sahihi ya kutimiza adhma ya watz ya kutaka mabadiliko na SLAA ndiye kinara wa hili. Eti raia Tanzania sema Marehemu CCM
 
Km sungura vile nasubiri mvua ikate ndo safari ianze,,cjifichi kichakani mm....
 

mwaka huu mtakuja na kila habari, ila ndo hivyo gia ilishabidilishiwa angani
 

mdharau mwiba ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…