Dk. Slaa ammaliza Mnyika. Makali yake ndani, nje ya bunge yatoweka

kalulukalunde

JF-Expert Member
May 27, 2016
1,056
1,083
IMG_20160603_050318.jpg


Maoni yangu

Kubadili gia angani kwa Mbowe kumewamaliza kabisa nguvu na kuwavunja moyo wapambanaji wa vita dhidi ya ufisadi. Mbowe awaombe radhi wanachama wa CHADEMA katika hili ili kunusuru chama kuja kufa kibudu 2020.
 
IMG_20160603_050318.jpg


Maoni yangu

Kubadili gia angani kwa Mbowe kumewamaliza kabisa nguvu na kuwavunja moyo wapambanaji wa vita dhidi ya ufisadi. Mbowe awaombe radhi wanachadema katika hili ili kunusuru chama kuja kufa kibudu 2020.
Yaan hata kubuni hujui,heading tumezizoea
 
Unaongea usivyovijua kuna mmoja alipigwa chini na Ester Bulaya alishasema CHADEMA itakufa kabla ya 2015 leo hii tumeshaanza kumsahau.kwa hiyo na ww na mabandiko yako ya kufa CHADEMA naona ndio sijui tuite ww ni ndg na Manyaunyau au ndio na ww bk 7 Fc?.CHADEMA haifi
 
Kiukweli mh. J.J Mnyika amepoa sana, sio yule wa bunge lililopita. He was very vibrant, mwenye hoja za mashiko na aliwapa CCM joto sana. Sijui kwa nini amepoa hivi.
 
Kweli huo ni mkakati ukisoma heading tu unajua ni mkakati wa CCM ahahahahahahahha.
 
Kiukweli mh. J.J Mnyika amepoa sana, sio yule wa bunge lililopita. He was very vibrant, mwenye hoja za mashiko na aliwapa CCM joto sana. Sijui kwa nini amepoa hivi.
Mkuu mambo ya gia za mboee hajui kama kuna ajali kubadili gia angani.
 
Kiukweli mh. J.J Mnyika amepoa sana, sio yule wa bunge lililopita. He was very vibrant, mwenye hoja za mashiko na aliwapa CCM joto sana. Sijui kwa nini amepoa hivi.
Dhamira inamsuta,Kessy alimwambia wapinzani kama kuku wa "kizungu"..walilopinga jana,leo wanalitetea.
 
Gia angani zina mishikeli yake, utajuaje pengine alijeruhiwa kdogo, tunachoangalia n jee mabadiliko ya gia ni kwa namna gan imeleta manufaa kwa chama na sio kwa mtu mmoja, CHADEMA HAIFI hili goma CCM mnalo, mlizoea kushindana na vyama vya msimu, lakin CHADEMA is there to wait its turn to rule this nation
 
Gia angani zina mishikeli yake, utajuaje pengine alijeruhiwa kdogo, tunachoangalia n jee mabadiliko ya gia ni kwa namna gan imeleta manufaa kwa chama na sio kwa mtu mmoja, CHADEMA HAIFI hili goma CCM mnalo, mlizoea kushindana na vyama vya msimu, lakin CHADEMA is there to wait its turn to rule this nation
Ki uchumi chama kime gain, ki siasa chama kimepigwa, kimehama kutoka falsafa ya ya kupinga ufisadi na mafisadi hadi kuwa watetezi wa ufisadi na mafisadi, Tangu Dr slaa ameachana nacho hakina mikakati yoyote! Hakuna cha M4C wala ofisi za Kanda, watu makini kama akina Mnyika lazima watafakari kwa kina. Hii ni CHADEMA lowasa
 
Ki uchumi chama kime gain, ki siasa chama kimepigwa, kimehama kutoka falsafa ya ya kupinga ufisadi na mafisadi hadi kuwa watetezi wa ufisadi na mafisadi, Tangu Dr slaa ameachana nacho hakina mikakati yoyote! Hakuna cha M4C wala ofisi za Kanda, watu makini kama akina Mnyika lazima watafakari kwa kina. Hii ni CHADEMA lowasa

Siasa inabadilika kila wakati. Malengo mapana ya chama hayataZAMWI KWENYE AJENDA MOJA TU.

Unapaswa ujuwe kuwa kuendesha chama sio rahisi. Misingi ya nchi ya kikatiba na kisheria ndio mizi mkuu wa ufisadi bila kuja na marekebisho ya haya unachezea muda huku adui yako akikumaliza.

Ukawa na CHADEMA suala la Katiba kama muhimili mkuu wa kupambana na Ufisadi wamelituliza mahala pake. Ajenda inajitegemea siasa yake itakuja muda ukifika.

Ufisadi hauhitimishwi na LOWASA kuja Chadema ni ajenda pana. Vipi ESCROW, LUGUMI, EPA ?

Chukuwa Falsafa hii. " Pambana na ufisadi jenga Chama kikuwe" Huwezi kuwalaumu CHADEMA kama wewe ni Critical.

Viva UKAWA.
 
Siasa inabadilika kila wakati. Malengo mapana ya chama hayataZAMWI KWENYE AJENDA MOJA TU.

Unapaswa ujuwe kuwa kuendesha chama sio rahisi. Misingi ya nchi ya kikatiba na kisheria ndio mizi mkuu wa ufisadi bila kuja na marekebisho ya haya unachezea muda huku adui yako akikumaliza.

Ukawa na CHADEMA suala la Katiba kama muhimili mkuu wa kupambana na Ufisadi wamelituliza mahala pake. Ajenda inajitegemea siasa yake itakuja muda ukifika.

Ufisadi hauhitimishwi na LOWASA kuja Chadema ni ajenda pana. Vipi ESCROW, LUGUMI, EPA ?

Chukuwa Falsafa hii. " Pambana na ufisadi jenga Chama kikuwe" Huwezi kuwalaumu CHADEMA kama wewe ni Critical.

Viva UKAWA.
Umesahau hapa chama kimefikaje, ni siasa ipi iliwanyanyua. Siku ukisikia mbowe anataja neno Fisadi nakupa like
 
Ki uchumi chama kime gain, ki siasa chama kimepigwa, kimehama kutoka falsafa ya ya kupinga ufisadi na mafisadi hadi kuwa watetezi wa ufisadi na mafisadi, Tangu Dr slaa ameachana nacho hakina mikakati yoyote! Hakuna cha M4C wala ofisi za Kanda, watu makini kama akina Mnyika lazima watafakari kwa kina. Hii ni CHADEMA lowasa
Wkati wa Dr.Slaa CHADEMA kilikuwa na wabunge wangapi? N sasa kina wabunge wangapi? halafu utajua CDM imegain au imeloose
 
CDM kiukweli imebadilika tangu lowasa aingie. lakini cdm haitakufa kamwe. anayesababisha isife ni ccm na serikali yake kwa kuendelea kuvurunda...
 
Wametulia kwa sababu bunge alipo live. Kwani wabunge wengi walikuwa wanapenda kuonekana ili waonekane wa maana.
 
Hivi kama yuko active Bungeni mtajuaje wakati bunge halionyeshwi? Mambo mengine hayataki kutumia hata akili ya ziada kwani yako wazi.
Tupambane haki ya kuonyeshwa bunge iwepo tutawaona wabunge hata hawa wapya wakiwa mahiri katika hoja na wakina Asumpta Mshama wengine nao tutawaona.
 
Back
Top Bottom