Dk. Mwakyembe amrushia Sugu kijembe

Sio kweli ka sugu kapata ubunge kibahatibahati, ckia alimzidi mpinganzi wake zaid ya kula elfu ishirini, so cjui kama ni bahati. By the way jamaa alichaguliwa na vijana wengi. Alikubarika kiukweli
 
Mimi sina chama ila Mwakyembe nilimshusha thamani ile siku alivyotangazwa kuwa waziri. Nikabishana na washkaji ambao wao wakimpenda mtu hata afanyeje wanakufa nae. How can you be a subordinate to someone you criticised openely? Tena nikasema huyu jamaa ndo kaisha kisiasa kwani yaweza tokea mabadiliko ya baraza akatemwa na hatoweza kupiga domo tena kama zamani! Nikasema ni njaa. Na nadhani nilitoa comments hata JF kuwa jamaa kaisha. Wengine wakasema ooh anaenda ku engineer changes from within. Waapi? Sasa hivi nae anajibu maswali magumu alokuwa anauliza wenziwe akiwa mbunge.

Kwa ufupi amejiunga na wasema uongo!
 
Hata kama Mwakyembe kachokwa Kyela ,wananchi wa Kyela, Rungwe Magharibi na Mashariki hawawezi kuchagua mwanahip-pop....Kwa tulioishi huko tunawajua wale watu. Moja hawana njaa na hii inawafanya wengi wao wawe na kiburi na cha muhimi zaidi wanaheshimu sana shule ya darasani na majina ya Mwa..... Mbeya mjini na Tunduma ni rahisi kupata kwa yoyote kwa kuwa kuna makabira mchanganyiko na wengi wa wapiga kura ni vijana na wafanya biashara. Nafikiri sugu aliongea vile ili kunogesha siasa ila anajua wazi kule hawezi gusa,, Mbombo mbalapala kula!
 
Ndiyo utajuwa kuwa hata hao wasomi tunaowategemea kwenye uongozi wa Taifa letu,wengi wao ukiwafuatilia utagundua ni hasara tupu kwa Taifa.Especially wanafiki kama Mwakyembe.Badala ya kujibu hoja,anaanza mudsliding...Eti hata kama akivaa hereni mbili,sasa linahusiana vipi na zao la kakao.Ama weli kusoma si sawa na kuelimika.
 

Mshtudanganye jamani.Kuna mambo ambayo mtu akiyafanya yanaonyesha wazi kwamba mtu huyo mawazo yake ni duni na hana morals kabisa.That inturn means he can't destinguish between good and evil.This incudes kuvaa vipini and earings.To me mtu kama huyo ni mhuni tu.Kama kweli Sugu anavaa earings na yuko bungeni kweli watanzania tumekwisha, maana sasa bunge limekuwa la wahuni.Call me old fashion,I don't care.Infact nilishangaa Sugu kuingia bungeni.Hii inanipa picha kwamba waliomchagua na jamii nzima ya watanzania nayo ni ya wahuni.Usiniambie kwamba mziki sio uhuni,it depends on what type of music you are talking about.As regards to the usefulness of a Ph.D, sioni haja ya kuongelea,kwa msomi it is obvious.I can't argue on such an obvious thing.Vihiyo ndio walioharibu intergrity ya Ph.Ds.Otherwise genuine Ph.Ds remain useful.
 
Wewe utakuwa lazima ni extremist.Huna nafasi kwenye jamii ya sasa....No wonder unashangaa...Endelea kushangaa.
 
Kwa hiyo kwako wewe wamasai wa kiume wootee ni "ELTON JOHN".............????

Hee! kumbe Sugu ni Mmasai ndio maana hereni zinampendeza, tunashukuru mkuu kwa kutufahamisha
 
  1. Ukweli: Sugu kamsema Mwakyembe nyumbani kwake Kyela na akashangiliwa
  2. Ukweli: Wakati anamsema Mwakyembe hakuna Mwanakyela aliyemzomea.
  3. Ukweli: Mwakyembe ni Waziri mdogo baada ya kuteuliwa na Kikwete.
  4. Ukweli: Mwakyembe alimsetiri Kikwete kwenye ripoti yake kuhusu Richmond.
  5. Tetesi: Yawezekana kitendo chake hicho kimemwezesha kuukwaa Uwaziri.
  6. Ukweli: Toka ateuliwe kuwa Waziri amepoa kama maji ya mtungi au ni mnafiki.
  7. Tetesi: Yawezekana huo uwaziri alipewa kwa masharti ya kufunga zipu mdomo.
  8. Ushauri: Badala ya kumjibu Sugu akiwa Dar es Salaam, afanye hivyo akiwa Kyela.
  9. Ushauri: Jema zaidi angeenda na yeye Mbeya akarudishe mapigo huko huko kwa Sugu.
  10. Ukweli: Bashiri Mrindoko wako wizara moja kama Naibu Katibu Mkuu.
  11. Swali: Anajisikiaje anaposhirikiana naye huku alimhusisha na kashfa ya Richmond ?
  12. Swali: Kwa kuwa ameamua kuoga kwenye dimbwi la tope, ni msafi kiasi gani ?
 

Nimefurahishwa sana na analyisi yako! Mwakyembe wa sasa si yule wa zamani! Tayari ameshaitwaa damu ya KIFISADI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…