Dk. Magufuli msituadhibu

Magufuli hana shida tatizo mfumo aliopo

nayeye anayo yakwake ambayo ni matokeo ya mfumo huo unao usema. ..ndani ya ccm ndugu usitegemee kupata msafi, ona sasa mzee warioba kesha tekwa. ..
 
Duuu sasa mjomba Magu atashughulikia mchwa siinamana yeye mwenyewe pia atajishughulikia! na swahiba ?hmmmm hapa ndio anazidi kuharibu bora angeendelea kunadi hayo marudio ya sera kuliko porojo hizi
 

Magufuli nadhani anaiogopa na kuiota gharika ya Lowasa maana alianza kulipata joto lake tangu Juni 2015.

 
Kitendo cha Jaji Mheshimika ambaye alipigwa na magamba kwa ajili ya katiba mpya na kitendo cha kupigia debe wachakachuaji wa katiba kurejea madarakani kweli nimeamini kuwa Mkuu wa wilaya alikuwa sahihi kuongoza vijana kumpiga na kuanzisha fujo.Sasa tunakuomba warioba utwambie vizuri kuhusu meremeta ambayo na wewe ulihusishwa,vilevile utwambie vizuri kuhusu hisa unazomiliki ndani ya airtel!!!!.
Ni aibu kwa mheshimiwa kiongozi wetu wewe na polepole kuwageuka ukawa ati kisa magufuli.Je magufuli amekuahidi kurudisha vipengele vya katiba vilivyonyofolewa!!! Mfano kuhusu watu kutorosha pesa na kuweka mabenki ya nje!!
 
Mbona analia lia? Kwani amejipangaje (In Mangi's voice)

Adhabu iko pale pale


Ndugu zangu wa kusini wanasema "Ukichimama nchale,ukikimbia nchale"
 
Kwa nini aombe msamaha kwani Waziri Mkuu ndiye Mwenyekiti wa baraza la mawaziri? Ameishawaambia kuwa mamlaka ya juu ilitoa maagizo kuwa mkataba wa Richmond usainiwe kama kawaida, acheni unafiki kwa nini hamtaki kumuwajibisha Kikwete kwa hili?

mkuu unajua nafasi ya waziri mkuu kwa mujibu wa katiba? pia kwa nini hataki kusema hiyo mamlaka ya juu ni nani? makamu wa Rais au Rais? kwa nini asimtaje hadharani kama kweli ana nia ya kweli?
 
MAGUFULI anakiri serikali ya CCM ni ya wala RUSHWA, serikali imejaa wezi...mafisi wala rushwa... mchwaaa...

SASA AMEKIRI MWENYEWE... CCM haifaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii....


UKAWA ndio jibu sahihi.... MAGUFULI kashakubali matokeo.....

ADABU ni kuwapiga CHINI CCM... aache kuhadaa watu hapa...


Lowassa, ukawa ndio MPANGO MZIMA..
 
Anaomba radhi kwa lipi wakati ilani ilyopita wametekeleza kwa asilimia 95 na kuhusu mchwa mbona walisema ni propaganda za upinzani acha tukutane oct 25

Anashangaa kusikia kwamba twiga waliibiwa wakapandishwa kwenye ndege.Hapohapo anaomba msamaha na kuahidi kuunda mahakama ya mafisadi swali twiga watarudi.
 
Mkuu hawa jamaa wanakera sana tatizo wamejaza Ndugu, watoto mjomba, shangaz huko serikalini alaf risimoja ndio anaamua nan awe rais huyu dogo ndo aliyeharibu

Ni kweli kabisa mkuu, lakini John kasema anaenda kufuta huo mtindo, kasema mkwewe ataendelea kuwa mwalimu na watoto wake wataendelea na maisha yao, nadhani tumjaribu huyu jamaa.
 
kweli kwa maneno yakuomba wasiadhibiwe hiyo ni dalili tosha ya kuomba poooo daa!!mimi nasema kama kitanda na godoro vina kunguni hakuna namna nyingine ni kutoa nje mwagia mafuta ya taa choma moto,tafuta vingine vinginevyo utahangaika na mayai ya kunguni miaka yote.
 
mkuu unajua nafasi ya waziri mkuu kwa mujibu wa katiba? pia kwa nini hataki kusema hiyo mamlaka ya juu ni nani? makamu wa Rais au Rais? kwa nini asimtaje hadharani kama kweli ana nia ya kweli?

Unapoichagua serikali kwenye ballot box unampigia Waziri Mkuu au Rais? Na nani anaemchagua mwenzake kati ya rais na waziri mkuu? Unamjua katibu mkuu wa baraza la mawaziri? Je Waziri Mkuu anaweza kubadilisha maamuzi ya baraza la mawaziri? Ni halali pia kusema kuwa wizi wa ESCROW ulifanywa na Pinda kwa sababu alikuwa Waziri Mkuu? Mbona Pinda hamumsakami au kwa sababu yuko CCM? Mtawadanganya wajinga tu
 
Ni kweli kabisa mkuu, lakini John kasema anaenda kufuta huo mtindo, kasema mkwewe ataendelea kuwa mwalimu na watoto wake wataendelea na maisha yao, nadhani tumjaribu huyu jamaa.
tumia akili wewe,unategemea Joni kidevu aseme hatafuta,atapataje kura sasa.hoja hapa ni kwamba wameshaaìdi mara ngapi?
 
Jeki hatuna muda wa kujaribu ccm ni ile ile tu watoke warioba nako nguru 2 kero za ccm
 
Tunawakusanya sisi wenyewe hawa kunguni kwani ccm mmeshindwa kuwakusanya , 25oct tutawachoma wote kunguni hakika
 
Hahaha huyu maguful anafurahisha...sasa kwa mawazo yake mimi na akil zangu niipigie kura ccm!!!!! Mi lofa!!!!! Watapigiwa na kina diamond
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…