Dk. Magufuli anatosha wengine wa nini?

Dk. Magufuli anatosha wengine wa nini?

Ni kweli anatosha, lakini ni kwa nini ID mpya zimeongezeka sana mwaka huu, ni wale wale mmekuja kwa ID nyingine au kweli nyie mmejiunga upya mwaka huu.

Kweli watanzania vilaza badala ya kujibu HOJA why unaona anatosha au hatoshi unakuja na comment kama ya mtoto wa darasa la saba wewe ID yake inakusaidia nini hata ikiwa mpya au ya zamani?wewe focus kwenye hoja.
 
Magufuli anatosha kwa kuwa sifa zote za kuwa president anazo,kafanya vitu vinaonekana,mwadilifu,mzalendo,mchapa kazi,mfuatiliaji na ndiye kiongozi wetu kuelekea nchi ya asali na maziwa
 
Raisi wa Kuwait ni nani kweli !!bahati nzuri anagombea Tanzania ingekuwa anagombea Usa ndio ungekuwa mwisho wake maana Us kama hujui foreign Policy kama rafiki yangu mr kidevu ,nobody will vote for you...CCM OUT
Rais wa Kuwait ni Lowassa ndiye alisubiri sana kugombea urais baada ya jina lake kukatwa mwaka 1995 na 2015. Kwa hiyo alisubiri. He waited ndo mana akawa rais wa Kuwait.
 
Dr Magufuli anamtosha mkeo labda..

ila kwa walio wengi.....ni mabalikooooo.na mabadiliko LOWASA
 
Rais wa Kuwait ni Lowassa ndiye alisubiri sana kugombea urais baada ya jina lake kukatwa mwaka 1995 na 2015. Kwa hiyo alisubiri. He waited ndo mana akawa rais wa Kuwait.

Mr Kidevu Raisi wa Libya ni nani kweli??😅😅😅
 
anatosha kwa mamaaako
lowassa n rais wako kenge ww
Toka wewe achana na matusi. Inabidi utulize akili zako umpigie kura Magufuli. Lowassa kachoka saana hata yeye anajua hilo anachofanya ni kuikomoa ccm iliyemkata.
 
Watanzania wengi tumemkubali magufuli kwa kuwa tumemchagua wenyewe,ni mtu wetu hashikamani na makundi ya mafisadi wala hajatumia fedha kuomba ridhaaa ya kuingia madarakani,ni mtu anayewajali wanyonge wote pale walipo.

napenda kuchukua nafasi hii kuwaasa watanzania wenzangu tusije tukaruhusu genge la watu wasio na dira kututalawala kwa kuwa hawana muda wa kuja madarakani ili kutunyanyua wananchi wa chini,hapa kimsingi anayetufaa ni magufuli.

naitazama tanzania itakayoongozwa na magufuli kuwa nchi ya asali na maziwa kwa kuwa uwezo anao,nia anayo,mwadilifu,ameonyesha njia kwa wizara alizosimamia.

pia anavaa viatu vya mwalimu nyerere kwa tabia yake ya kuwa mtumishi kwa kuwatumikia wananchi katika kujiletea maendeleo
 
akili matope za lumumba n majanga.
haXkutoshi kenge wew

magufuli.jpg
 
Magufuli anatosha kwa kuwa sifa zote za kuwa president anazo,kafanya vitu vinaonekana,mwadilifu,mzalendo,mchapa kazi,mfuatiliaji na ndiye kiongozi wetu kuelekea nchi ya asali na maziwa
 
Back
Top Bottom