Dk. Magufuli anatosha wengine wa nini?

Dk. Magufuli anatosha wengine wa nini?

Bukama Batoko

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2015
Posts
820
Reaction score
137
Mchango wa Dkt. Magufuli kwa taifa ameudhihirishia Umma wa Watanzania kuwa ni kiongozi mchapa kazi kwa nafasi aliyoitumikia kama Waziri. Nafasi anayowaomba Watanzania kwa sasa ni ya Urais. Na mara zote ameendelea kusisitiza kuwa YEYE anatosha. Na kweli anatosha. Jitokeze Oktoba 25 mwaka huu umchague Magufuli awe Rais wako wa Awamu ya Tano. Tanzania Hoyeeeeeeeeeee!
 
Mchango wa Dkt. Magufuli kwa taifa ameudhihirishia Umma wa Watanzania kuwa ni kiongozi mchapa kazi kwa nafasi aliyoitumikia kama Waziri. Nafasi anayowaomba Watanzania kwa sasa ni ya Urais. Na mara zote ameendelea kusisitiza kuwa YEYE anatosha. Na kweli anatosha. Jitokeze Oktoba 25 mwaka huu umchague Magufuli awe Rais wako wa Awamu ya Tano. Tanzania Hoyeeeeeeeeeee!
Mkuu kwa kweli umenena huyu mtu anakubalika na anaweza sana kufanya mabadiliko.
 
Raisi wa Kuwait ni nani kweli !!bahati nzuri anagombea Tanzania ingekuwa anagombea Usa ndio ungekuwa mwisho wake maana Us kama hujui foreign Policy kama rafiki yangu mr kidevu ,nobody will vote for you...CCM OUT
 
Anatosha kwako kwa sababu anashibisha tumbo lako. Vijana mnaajiriwa hapo lumumba na masaki mnapewa vi allowance mnafikiri Mmemaliza kumbukeni kuna maisha baada ya uchaguzi
 
Anatosha kwako kwa sababu anashibisha tumbo lako. Vijana mnaajiriwa hapo lumumba na masaki mnapewa vi allowance mnafikiri Mmemaliza kumbukeni kuna maisha baada ya uchaguzi

TANZANIA hoyeeeeeeee, wenye wivu wajinyonge. Ni kweli anatosha kwa Watanzania. Hapa kazi tu, hakuna cha Buguruni, Kinondoni, Masaki wala Mwananyamala. Magufuli anatosha.
 
Tanzania sio taifa la kifalme! Tutafanya maamuzi kupitia sanduku la kura!
 
Magufuli ni mtu wa watu
.

.

Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akipiga push up mbele ya maelfu ya wakazi wa Karagwe kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye viwanja vya Changarawe,Kayanga.

Mabadiliko ya kasi na viwango ni kwa Magufuli
 
Tanzania sio taifa la kifalme! Tutafanya maamuzi kupitia sanduku la kura!

Ni kweli, Tanzania siyo taifa la kifalme, ndiyo maana uchaguzi unafanyika ili kumpata kiongozi wa kitaifa. Magufuli anatosha, chagua yeye awe Rais wa Awamu ya Tano.
 
Raisi wa Kuwait ni nani kweli !!bahati nzuri anagombea Tanzania ingekuwa anagombea Usa ndio ungekuwa mwisho wake maana Us kama hujui foreign Policy kama rafiki yangu mr kidevu ,nobody will vote for you...CCM OUT
We don't want nobody to vote for ccm but we need everybody to vote for ccm
 
Mchango wa Dkt. Magufuli kwa taifa ameudhihirishia Umma wa Watanzania kuwa ni kiongozi mchapa kazi kwa nafasi aliyoitumikia kama Waziri. Nafasi anayowaomba Watanzania kwa sasa ni ya Urais. Na mara zote ameendelea kusisitiza kuwa YEYE anatosha. Na kweli anatosha. Jitokeze Oktoba 25 mwaka huu umchague Magufuli awe Rais wako wa Awamu ya Tano. Tanzania Hoyeeeeeeeeeee!
Ni kweli anatosha, lakini ni kwa nini ID mpya zimeongezeka sana mwaka huu, ni wale wale mmekuja kwa ID nyingine au kweli nyie mmejiunga upya mwaka huu.
 
Mchango wa Dkt. Magufuli kwa taifa ameudhihirishia Umma wa Watanzania kuwa ni kiongozi mchapa kazi kwa nafasi aliyoitumikia kama Waziri. Nafasi anayowaomba Watanzania kwa sasa ni ya Urais. Na mara zote ameendelea kusisitiza kuwa YEYE anatosha. Na kweli anatosha. Jitokeze Oktoba 25 mwaka huu umchague Magufuli awe Rais wako wa Awamu ya Tano. Tanzania Hoyeeeeeeeeeee!

anatosha kwa mamaaako
lowassa n rais wako kenge ww
 
Ni kweli, Tanzania siyo taifa la kifalme, ndiyo maana uchaguzi unafanyika ili kumpata kiongozi wa kitaifa. Magufuli anatosha, chagua yeye awe Rais wa Awamu ya Tano.

Labda umchague wewe kuwa mwenyekiti wako wa serikali ya mtaa!
 
Ni kweli anatosha, lakini ni kwa nini ID mpya zimeongezeka sana mwaka huu, ni wale wale mmekuja kwa ID nyingine au kweli nyie mmejiunga upya mwaka huu.

Wewe piga kura kumchagua Rais wako wa Awamu ya Tano. ID imeingiaje hapa?
 
Back
Top Bottom