Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,573
- 272,320
unaelewa maana ya 'benefits of the doubt' ?
kwenye siasa muhimu mtu usikie kauli ya mtu mwenyewe
kuliko kusema tu fulani alisema
basi endelea kumsubiri kitila mkumbo .
unaelewa maana ya 'benefits of the doubt' ?
kwenye siasa muhimu mtu usikie kauli ya mtu mwenyewe
kuliko kusema tu fulani alisema
Wanajiita ACT - Tanzania, je kuna ACT nchi nyingine mfano ACT - Ghana au ACT - Zimbabwe? Mimi naona kama vile hawajajipanga ni kama wameanzisha kwa hasira dhidi ya CDM. Hata vision na mission zao hazijulikani isipokuwa wanategemea personalities kama za ZZK na Dr. Kitila. Watavuma na kupotea kama TLP