The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,611
ACT ni chama kipya na kina mengi sasa yamejitokeza
mengi kiasi ni ngumu hata kujua yapi ya ukweli na yapi si ya kweli
nikikitazama hiki chama naamini kama kuna mtu ambae ana command respect
hata kwa watu independent na ambae akizungumza sauti yake itakuwa na nguvu
basi ni Dk Kitila Mkumbo.....naamini tupo wengi wenye maswali na chama hiki kipya
na future yake na malengo yake....
Binafsi sioni why huyu Kitila asiwe yeye mwenyekiti ili angalau lolote litakalotokea
tuamini sio bahati mbaya bali ni mkakati wa chama hiki
muhimu zaidi Kitila naamini ndie 'mshauri mkuu' wa chama hiki kwa sasa atujibu maswali kama haya
1. je ni lazima ACT wawe na uhasama na CHADEMA?
2. je ACT wanachukua hatua gani kuondoa uhasama na uadui unaojitokeza kati yao na CHADEMA?
3.Nini hasa mipango ya chama chao after 2015?
4. je ACT kinaweza kuwa chama cha kisiasa bila Zitto?
5. na kama ni hivyo je hawaoni athari za kujenga chama kwa kutegemea personality ya mtu mmoja au watu wachache?
6. mustakabali wa Taifa wao wanauchukuliaje? na maswali mengineyo.....
mengi kiasi ni ngumu hata kujua yapi ya ukweli na yapi si ya kweli
nikikitazama hiki chama naamini kama kuna mtu ambae ana command respect
hata kwa watu independent na ambae akizungumza sauti yake itakuwa na nguvu
basi ni Dk Kitila Mkumbo.....naamini tupo wengi wenye maswali na chama hiki kipya
na future yake na malengo yake....
Binafsi sioni why huyu Kitila asiwe yeye mwenyekiti ili angalau lolote litakalotokea
tuamini sio bahati mbaya bali ni mkakati wa chama hiki
muhimu zaidi Kitila naamini ndie 'mshauri mkuu' wa chama hiki kwa sasa atujibu maswali kama haya
1. je ni lazima ACT wawe na uhasama na CHADEMA?
2. je ACT wanachukua hatua gani kuondoa uhasama na uadui unaojitokeza kati yao na CHADEMA?
3.Nini hasa mipango ya chama chao after 2015?
4. je ACT kinaweza kuwa chama cha kisiasa bila Zitto?
5. na kama ni hivyo je hawaoni athari za kujenga chama kwa kutegemea personality ya mtu mmoja au watu wachache?
6. mustakabali wa Taifa wao wanauchukuliaje? na maswali mengineyo.....