Kichuchunge
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 425
- 1,027
Dirisha la usajiri bado halijafungwa?Aliyekua beki wa klabu ya Yanga raia wa kimataifa wa Congo Djuma Shabani ametimkia klabu ya Azam ya jijini Dar-Es-Salaam kwa mujibu wa taarifa mbalimbali.
Beki Djuma Shabani ameonekana kwenye viunga vya Azam akiwa anafanya mazoezi na klabu hiyo, huku vyanzo mbalimbali vikithibitisha beki huyo amejiunga na waoka mikate hao.
Beki huyo aliingia kwenye mgogoro kidogo na klabu yake ya zamani ya Yanga baada ya kuomba kuondoka klabuni hapo, huku klabu yake ikelezwa kumcheleweshea barua ya kumuachia aondoke ndani ya timu hiyo.
Wiki kadhaa nyuma klabu ya Yanga ilifanikiwa kutoa barua ya kumruhusu mchezaji huyo kuondoka klabuni hapo kama ambavyo aliomba, Baada ya mchezaji huyo kuondoka Yanga inaelezwa matajiri wa Dar-es-salaam wamepita nae na kumsajili.
View attachment 2741336Beki Djuma Shabani anakua mchezaji wa tatu kujiunga na Azam akitokea Yanga hivi karibuni kwani alianza Feisal Salum akafata Yanick Bangala Litombo na sasa amefata beki huyo raia wa kimataifa wa Congo.
Mpaka sasa Yao Yao kishawaweka kadhaa..!!Duh...ama Kweli asiyejua Maana ,Usimwambie Maana...
Usiache mbachao kwa Msala Upitao...
Usiteme Bigijii kwa Karanga ya Kuonjeshwa..
Unamwachaje 'Soja Ya Bemba' kwa yule mtu mfupi andunje YaoYao..!
Mi nasubiria ile migoli ya Krosi iliyokuwa inasumbua ngome ya Yanga msimu uliopita Kuendelea Kuitesa Yanga...!
Job................Mfupi
Yao............. Mfupi
Kibwana ..Mfupi
Tusilaumiane.......Nimekaa Palee..!
Hivi ile mechi na JKT lile goli alilofunga alikusudia kufunga au akili yake ilikuwa kutoa krosiMpaka sasa Yao Yao kishawaweka kadhaa..!!
Wereva..!! Goli lilikuwa kali sana..!!Hivi ile mechi na JKT lile goli alilofunga alikusudia kufunga au akili yake ilikuwa kutoa krosi
Yeah goli ni kali,ila namaanisha kama jamaa alikusudia kufunga basi ana akili sanaWereva..!! Goli lilikuwa kali sana..!!
Hawa wote wafupi walicheza dhidi ya timu yako na mpira full time hukupata hata goli. Na mpaka sasa hawa wafupi wamerusu goli moja pekee katika michezo 7Duh...ama Kweli asiyejua Maana ,Usimwambie Maana...
Usiache mbachao kwa Msala Upitao...
Usiteme Bigijii kwa Karanga ya Kuonjeshwa..
Unamwachaje 'Soja Ya Bemba' kwa yule mtu mfupi andunje YaoYao..!
Mi nasubiria ile migoli ya Krosi iliyokuwa inasumbua ngome ya Yanga msimu uliopita Kuendelea Kuitesa Yanga...!
Job................Mfupi
Yao............. Mfupi
Kibwana ..Mfupi
Tusilaumiane.......Nimekaa Palee..!
Tatizo Djuma alijiona sijui nani, akavimba, ale jeuri yake sasaAmeenda sehemu bora sana kwake. Maana ni suala tu la muda kabla ya kile kitambi chake alichosemwa kipindi kile na Mcongoman mwenzake Mwinyi Zahera, kurejea kwa kasi ya ajabu.
Wachezaji wa Azam wasio na vitambi wanajitakia wenyewe, kutokana na ukweli kwamba hiyo timu haina malengo wala presha ya aina yoyote ile.
Kipindi yupo Djuma walikua hawafungwi?Duh...ama Kweli asiyejua Maana ,Usimwambie Maana...
Usiache mbachao kwa Msala Upitao...
Usiteme Bigijii kwa Karanga ya Kuonjeshwa..
Unamwachaje 'Soja Ya Bemba' kwa yule mtu mfupi andunje YaoYao..!
Mi nasubiria ile migoli ya Krosi iliyokuwa inasumbua ngome ya Yanga msimu uliopita Kuendelea Kuitesa Yanga...!
Job................Mfupi
Yao............. Mfupi
Kibwana ..Mfupi
Tusilaumiane.......Nimekaa Palee..!
Msajili wewe kwenye timu yakoMfungaji pekee wa Yanga katika mechi ya mwisho ya fainali shirikisho kashindwa kusajiliwa hata na Mashujaa au KMC.
Hivi Yanga kama mnadai mmeachana na kina Bangala na Shabani kumkomoa wakala wao, huyo Mayele mnategemea kumrudisha vipi?
Badilikeni mnatakiwa kuona fahari wachezaji wenu wakisonga mbele na kufanikiwa zaidi siyo hivi mnavyofanya. Nyie watu wa aina gani?Msajili wewe kwenye timu yako
Huwa mnalalamika yanga wanang'ang'ania wachezaji hawa wanaachwa watafute maaslahi mazuri,Badilikeni mnatakiwa kuona fahari wachezaji wenu wakisonga mbele na kufanikiwa zaidi siyo hivi mnavyofanya. Nyie watu wa aina gani?