DJ Khaled hafahamu lolote kuhusu muziki, siri imejulikana

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
4,267
10,272
Siku zote usipojua nyota yako kali usitegemee kufanikiwa kama usipojiondoa kwa watu watakao tumia nyota yako kutembelea kwenye mafanikio yao.

Wote tunamfahamu msanii T-Pain aliyetamba miaka ya nyuma na hakuna ngoma iliyofanya vibaya. Kutokana na umaarufu wake mpaka kuunda kundi la Nappy Boy lililotowa wasanii kibao magwiji. T-pain ni producer wa mziki, mtunga mashairi mzuri ambazo kama:
Kitu cha kushangaza DJ Khaled nyimbo ambayo immtambulisha ni ya Up Down (Do This All Day) ambayo imeshirikisha mastaa kibao na kumfanya DJ Khaled kuingia kwenye soko la mziki Marekani.

Nyimbo hii imeandikwa na T-Pain na kutengenezwa pia, ndipo hapo dj khaled amekuwa akimtumia mpaka sasa na nyimbo zote zilizotamba zimeandaliwa na T-Pain.

Lakini hata siku moja DJ Khaled ajawai kuonesha kumnyanyua wala kumsifia ni kama kamgeuza msukule sababu anamaisha magumu baada ya kuanguka kipesa.
 
Siku zote usipojua nyota yako kali usitegemee kufanikiwa kama usipojiondoa kwa watu watakao tumia nyota yako kutembelea kwenye mafanikio yao.

Wote tunamfahamu msanii T-Pain aliyetamba miaka ya nyuma na hakuna ngoma iliyofanya vibaya. Kutokana na umaarufu wake mpaka kuunda kundi la Nappy Boy lililotowa wasanii kibao magwiji. T-pain ni producer wa mziki, mtunga mashairi mzuri ambazo kama:
Kitu cha kushangaza DJ Khaled nyimbo ambayo immtambulisha ni ya Up Down (Do This All Day) ambayo imeshirikisha mastaa kibao na kumfanya DJ Khaled kuingia kwenye soko la mziki Marekani.

Nyimbo hii imeandikwa na T-Pain na kutengenezwa pia, ndipo hapo dj khaled amekuwa akimtumia mpaka sasa na nyimbo zote zilizotamba zimeandaliwa na T-Pain.

Lakini hata siku moja DJ Khaled ajawai kuonesha kumnyanyua wala kumsifia ni kama kamgeuza msukule sababu anamaisha magumu baada ya kuanguka kipesa.
Nyimbo nyingi za Dj Khaled ni sampling za nyimbo za zamani
 
Siku zote usipojua nyota yako kali usitegemee kufanikiwa kama usipojiondoa kwa watu watakao tumia nyota yako kutembelea kwenye mafanikio yao.

Wote tunamfahamu msanii T-Pain aliyetamba miaka ya nyuma na hakuna ngoma iliyofanya vibaya. Kutokana na umaarufu wake mpaka kuunda kundi la Nappy Boy lililotowa wasanii kibao magwiji. T-pain ni producer wa mziki, mtunga mashairi mzuri ambazo kama:
Kitu cha kushangaza DJ Khaled nyimbo ambayo immtambulisha ni ya Up Down (Do This All Day) ambayo imeshirikisha mastaa kibao na kumfanya DJ Khaled kuingia kwenye soko la mziki Marekani.

Nyimbo hii imeandikwa na T-Pain na kutengenezwa pia, ndipo hapo dj khaled amekuwa akimtumia mpaka sasa na nyimbo zote zilizotamba zimeandaliwa na T-Pain.

Lakini hata siku moja DJ Khaled ajawai kuonesha kumnyanyua wala kumsifia ni kama kamgeuza msukule sababu anamaisha magumu baada ya kuanguka kipesa.
You wanna win with us? Or watch us win.
 
5D556190-FCEB-4CB3-BCF6-9B423E79C7B1.jpeg
 
Siku zote usipojua nyota yako kali usitegemee kufanikiwa kama usipojiondoa kwa watu watakao tumia nyota yako kutembelea kwenye mafanikio yao.

Wote tunamfahamu msanii T-Pain aliyetamba miaka ya nyuma na hakuna ngoma iliyofanya vibaya. Kutokana na umaarufu wake mpaka kuunda kundi la Nappy Boy lililotowa wasanii kibao magwiji. T-pain ni producer wa mziki, mtunga mashairi mzuri ambazo kama:
Kitu cha kushangaza DJ Khaled nyimbo ambayo immtambulisha ni ya Up Down (Do This All Day) ambayo imeshirikisha mastaa kibao na kumfanya DJ Khaled kuingia kwenye soko la mziki Marekani.

Nyimbo hii imeandikwa na T-Pain na kutengenezwa pia, ndipo hapo dj khaled amekuwa akimtumia mpaka sasa na nyimbo zote zilizotamba zimeandaliwa na T-Pain.

Lakini hata siku moja DJ Khaled ajawai kuonesha kumnyanyua wala kumsifia ni kama kamgeuza msukule sababu anamaisha magumu baada ya kuanguka kipesa.
Amuinue kivipi? Kwani huwa hamlipi na kumpa publishing rights zake? Amsifie ili iweje?
 
Ukisikiliza ngoma yake ya "God did", humo pia wameongelewa watu kama wewe mleta mada.
Lil Wayne anawaambia:

"They smell blood like the sharks, they start actin' fishy
Well, I'ma have to act a ass and they gon' have to kiss me
Please, don't hate me just to hate me
Before they overrate me, they gon' underestimate me"
 
Back
Top Bottom