Kwahiyo hizi stations mpya hazina uwezo wa kutengeneza vipaji vipya hadi majina yanakuwa ni yale yale huko kwenye media. Hii inchi siku hizi upumbavu umekuwa mwingi sana aisee.
Kwahiyo hizi stations mpya hazina uwezo wa kutengeneza vipaji vipya hadi majina yanakuwa ni yale yale huko kwenye media. Hii inchi siku hizi upumbavu umekuwa mwingi sana aisee.