Du kama ni kweli fred bundala ndie mmiliki basi kuna jambo kubwa la kukifunza vijana wanapaswa msikiliza sana kupata inspiration kutoka kwake maana kutoka ajiriwa sahara media akaja bongo 5 akajiriwa akaja na hii dizzm online na leo katake over kina vingi vya kujifunza kutoka kwake
Bro Mpaka Sasa Wasafi Tv Ishapotea!Sidhani Ka Watakuja Na Jipya!E Tv Ya Majizo Yenyewe Sioni Nini Wanafanya Mpaka Sasa!Clouds Nao Walikuja kwa Mbwebwe Sioni Nini Wanafanya Bora Nitazame Zangu ITV tu Mizengwe!Dizzim watafunika Sababu Toka Wakiwa Online Walikuwa Wabunifu!Wasafi Tv Siwaoni Kabisa
Hiyo tv toka niifaham navijua vipindi vitatu tu. Kile cha asubuhi cha Reuben Mchome, kuna ch jioni sijui street code na cha usiku cha Salam SK.
Ila muda wote naona miziki tu na logo za whatsapp onair.
Hiyo tv toka niifaham navijua vipindi vitatu tu. Kile cha asubuhi cha Reuben Mchome, kuna ch jioni sijui street code na cha usiku cha Salam SK.
Ila muda wote naona miziki tu na logo za whatsapp onair.