Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 10,905
- 18,871
Wabongo wanapenda vitu vya kung'aa-ng'aa. Vitu classic wako mbali navyo.Mojankati ya watu walionifanya nikarudisha mapenzi yangu kwa hip hop ni huyu jamaa
Nyimbo zake zina kila kitu ndani yake
Elimu
Utani
Burudani
Mzaha
Kukukanya
Kukuponda
Kufungua ubongo wako
Jamaa kakamilika sana ila tu bongo watu vichwa kama hawa hawapewi nafasi kabisa.
Kizuri huwa kinajiuzaMojankati ya watu walionifanya nikarudisha mapenzi yangu kwa hip hop ni huyu jamaa
Nyimbo zake zina kila kitu ndani yake
Elimu
Utani
Burudani
Mzaha
Kukukanya
Kukuponda
Kufungua ubongo wako
Jamaa kakamilika sana ila tu bongo watu vichwa kama hawa hawapewi nafasi kabisa
Hizo kauli za zamani sana. Biashara ni matangazo, hata kama una kizuri lakini usipokitangaza hakitauzika. Ndiyo maana makampuni makubwa hutumia mabilioni kujitangaza.Kizuri huwa kinajiuza
nani akupe nafasi sasa
Imba mziki mzuri utawafikia watu tu
Kuna ngoma huwa zikitoka tu zinafungiwa lakini bado huwa nyimbo za taifa
Vp kuhusu mshkaji wenu mpaka apewe nafasi?
Sizijui nyingi maana leo ndiyo namsikiliza. Nimeipenda Harder. Pia kuna Muscular Feminist, kaiandika kiakili sana.Nidondoshee list ya nyimbo zake kali nikazitafte
😂😂Dizasta ni mwana ngojera anaetumia midundo ya hiphop kuhadithia vitu mbalimbali.
Vijana wengi wa sasa wametokea kuvutiwa na ngojera zake kiasi cha kujichanganya kudhani anafanya muziki wa rap.
Kiuhalisia yupo genre moja na Mrisho Mpoto.
Anafanya classic hiphop.Dizasta ni mwana ngojera anaetumia midundo ya hiphop kuhadithia vitu mbalimbali.
Vijana wengi wa sasa wametokea kuvutiwa na ngojera zake kiasi cha kujichanganya kudhani anafanya muziki wa rap.
Kiuhalisia yupo genre moja na Mrisho Mpoto.
Hatia i, hatia ii, hatia iii, hatia iv. Hususani hiyo hatia iv ina uandishi na kiwango cha PhdNidondoshee list ya nyimbo zake kali nikazitafte
Katafute ngoma inaitwa Kanisa. Hiyo itakupa mzuka wa kumsikiliza zaidiNidondoshee list ya nyimbo zake kali nikazitafte
Asilimia kubwa hiphop huongelea reallife alafu kuna mtindo wakueleza kitu kwa mafumbo hiphop huwezi kuta inasikiliwa sana baa au saluni na baadhi ya kumbi za stareheMojankati ya watu walionifanya nikarudisha mapenzi yangu kwa hip hop ni huyu jamaa
Nyimbo zake zina kila kitu ndani yake
Elimu
Utani
Burudani
Mzaha
Kukukanya
Kukuponda
Kufungua ubongo wako
Jamaa kakamilika sana ila tu bongo watu vichwa kama hawa hawapewi nafasi kabisa
Tafta album yake ya JESUSTA na VERTELLERNidondoshee list ya nyimbo zake kali nikazitaft
Tafta album yake ya JESUSTA na VERTELLER