amando pascal
Member
- Sep 30, 2018
- 7
- 30
Ngoma kali
Kufunikwa?Huyu jamaa wasanii wengi wanamuogopa kufanya nae collabo sijui wanahofia kufunikwa
Kwenye hii collabo ya fid nikki na dizasta Kuna watu watafutishwa sana verseKufunikwa?
Fid atawaficha wote mfukoniKwenye hii collabo ya fid nikki na dizasta Kuna watu watafutishwa sana verse
Ngoma kali kama magu na samia hivi ila inakataaila sio
Ndio msanii wa kwanza nina album zake zote 3Kwa wapenzi wa hiphop hivi mmepata na nafasi ya kusikiliza hii nyimbo mpya dizasta vina hatia V aisee kuna ubunifu mkubwa umetumika sana humo hata akifa leo nyimbo zake zitasikilzwa milele jamaa anajua sana. Vipi maoni yako mwana #JF #DIZASTAVINA #HATIA View attachment 2459885
Kama haiwashiki basi hawahusiki na haitowasaidia~ (One -Kivyovyote)Binafsi sijaona Kama dizasta n msanii mkali wa hip-hop Kama inavojaribu kutajwa humu.
Kwani Hana hit song ambayo imetoboa nje ya jamii ya wapenda hip-hop yaani kwa wale wasiokua mashabiki Lia Lia wa hip-hop...
Ngoma ambayo ilifanya vizuri kwenye platform mbalmbali Ni kanisa tu. Hizo zingine bado ziliishia kwetu tu wapenda hip-hop nazani Ni Muda Sasa ajitafute afanye muziki unaopenya kila angle...
Angalie kina Nikki mbishi, young killer, nash-mc, one hata stereo waliwezaje...
kuna hatia iv pia na shahidi zisikilizeHatia hii sijaisikia ngoja niitafute nimeskiliza zile za Mwanzo Hatia 1-3
Hatia hii sijaisikia ngoja niitafute nimeskiliza zile za Mwanzo Hatia 1-3