Diwani wa CCM afariki India

Diwani wa CCM afariki India

Diwani wa CCM kata ya Mpwapwa amefariki huko India aikoenda kwa matibabu, amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kupigana na ugonjwa wa ini uliopelekea figo zake kufeli kabisa. Huko India alienda kwa nguvu za familia baada ya madaktari wa bongo kumshauri asiende huko, sasa wanainchi wanajiuliza gharama za kurudisha maiti zitakuwa za nani. Diwani huyu alijulikana kwa jina la Dr. Noah Maiseli ni msomi aliyesomea mambo ya vetenali na alikuwa amestaafu kazi serikalini.


MY TAKE : Chadema inaweza kuchukua kata hii kwa sababu Kigaila aliisha waamsha miezi kadhaa iliyopita na teyali wemiisha fungua ofisi na kadi zinauzwa kama njugu. Ila wakati Kigaila anawaamsha kiongozi mmoja wa CDM toka mkoa upande wa akinamama akijulikana kama EVA Mpagama aliwatukana walimu wanawake wa Mpwapwa kwani anabeaf nao mmoja wao anachukuliwa na mme wake walioachana kwa hiyo hafai kuja huku kifanya kampeni kwa sababu walimu wanawake wanaweza kupiga kura ya chuki.

mkuu unajua swala sio kurudisha maiti ,,infact mtu akifa atuitaji kuumiza kichwa wapi pa kuzikia ..na akuna sehemu rahisi za kuzikia kama INDIA kama wafiw wanaitaaji kumzika INDIA kwa bei nafuu wa ni pm niwasiaidie..swala nani anakwenda kurithiudiwani wake kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wa mpwa x2 ..KAMA WATAAONA MICHANGO AIFIKI KULE KUNA JAMAA WANACHOMA HADI MWILI ASO WAKIFIKIA MUAFAKA TUWASILIANE TU KWA MSAADA M NINA MAMA MDOGO KABISA AMEFIA MAREKANI WAKAHANGAIKA NDUGU NAWAANGALIA NIKATOA KAUSHAURI KAMOJA JAMANI MBONA HIVI MSIBA GANI SIKU 13 AMJUI KINACHOENDELEEAA..BAHATI NILIWAHI KUWA KULE NIKAWASILIANA NA FRIENDS ZANGU WAKAFANYA MAANDALIZI..NIKATOA WAZO JAAMNI TUPELEKE WAHUSIKA KADHAA TUKAZIKIE KULE LEO HII MAMA YETU MDOGO IKABIDI ALE URAIA WA MAREKANI KINGUVU KWA KUZIKIWA UKO UKO..
 
Ndio maana wachaga awakuitaji kwenda shule kuchana na biashara za kuepeleka maiti moshi sikuhizi wanachanga wanangalia uhalisia wa walichonacho wakiona siyo kesho yake mzigo uko term 1 kinondoni kama wa hali ya juu uko term ii kindondoni pale chini else pembeni ya nyumba..tuachane na kuumiza kichwa mtu akiondoka infact kama akizikwa india mkitaka kwenda kumuona baada ya mwaka hata visa sijui kama mtaitaji
 
Nitashukuru kama amekuelewa,nasikitika tu hajashukuru kwa ushauri wa bure.
Hizi habari zilete kaama taarifa za msiba wa mwanasiasa basi haya mambo ya cdm kuchukua hiyo kata na nani anatembea na nani huu sio wakatu wake wala hapa sio mahali pake!! mungu ailaze mahali inapostahili roho ya marehemu Diwani halafu sijaelewa vetenali ni kitu gani au you mean veterinary??
 
Watu wengine bwana............


mkuu unajua swala sio kurudisha maiti ,,infact mtu akifa atuitaji kuumiza kichwa wapi pa kuzikia ..na akuna sehemu rahisi za kuzikia kama INDIA kama wafiw wanaitaaji kumzika INDIA kwa bei nafuu wa ni pm niwasiaidie..swala nani anakwenda kurithiudiwani wake kwa ajili ya kuwasaidia wananchi wa mpwa x2 ..KAMA WATAAONA MICHANGO AIFIKI KULE KUNA JAMAA WANACHOMA HADI MWILI ASO WAKIFIKIA MUAFAKA TUWASILIANE TU KWA MSAADA M NINA MAMA MDOGO KABISA AMEFIA MAREKANI WAKAHANGAIKA NDUGU NAWAANGALIA NIKATOA KAUSHAURI KAMOJA JAMANI MBONA HIVI MSIBA GANI SIKU 13 AMJUI KINACHOENDELEEAA..BAHATI NILIWAHI KUWA KULE NIKAWASILIANA NA FRIENDS ZANGU WAKAFANYA MAANDALIZI..NIKATOA WAZO JAAMNI TUPELEKE WAHUSIKA KADHAA TUKAZIKIE KULE LEO HII MAMA YETU MDOGO IKABIDI ALE URAIA WA MAREKANI KINGUVU KWA KUZIKIWA UKO UKO..
 
Watu wengine bwana............

Nimefuatilia kwa makini,na kusoma between lines kwenye post uliyo lalamikia.
MY TAKE:
1/Hoja alizo toa mlalamikiwa ni nzito(Bila kujali usahihi wake,maana ni mtazamo wake,nami ninao wangu ambao si lengo langu ku expose hapa)
2/Umesoma hoja zake.
3/Umetofautiana naye(Kitu ambacho ni sahihi)
4/Umeshindwa kujibu hoja zake,na kukimbilia kumshangaa,dalili ambayo inaashiria vitu viwili vifuatavyo:
a/Wewe ni miongoni mwa vilaza wanao zidi kuongezeka humu jf.
b/Umeona uzito wa hoja na kuogopa kuzijibu,na kuamua kushangaa,kitu kinacho onesha,umereply post ya mwenzako ku call for sympathy ya great thnker waje kukujibia,ambao ni aina nyingine ya ukilaza,

Hence,UKILAZA WAKO CONFIRMED!
c/Vilaza wote wa jf kama wapo,watakuja hapa,watasoma mistari michache na ku reply "foolish",
"Craaaap",
au neno lolote baya lenye character 6,bila kuelezea kwa nini wame nijaji hvyo, kudhihirisha ukilaza wangu!
 
Poleni wana Mpwapwa, kila nafsi itaonja mauti Rip mheshimiwa
 

Diwani wa CCM kata ya Mpwapwa amefariki huko India aikoenda kwa matibabu, amefariki usiku wa kuamkia leo baada ya kupigana na ugonjwa wa ini uliopelekea figo zake kufeli kabisa. Huko India alienda kwa nguvu za familia baada ya madaktari wa bongo kumshauri asiende huko, sasa wanainchi wanajiuliza gharama za kurudisha maiti zitakuwa za nani. Diwani huyu alijulikana kwa jina la Dr. Noah Maiseli ni msomi aliyesomea mambo ya vetenali na alikuwa amestaafu kazi serikalini.


MY TAKE : Chadema inaweza kuchukua kata hii kwa sababu Kigaila aliisha waamsha miezi kadhaa iliyopita na teyali wemiisha fungua ofisi na kadi zinauzwa kama njugu. Ila wakati Kigaila anawaamsha kiongozi mmoja wa CDM toka mkoa upande wa akinamama akijulikana kama EVA Mpagama aliwatukana walimu wanawake wa Mpwapwa kwani anabeaf nao mmoja wao anachukuliwa na mme wake walioachana kwa hiyo hafai kuja huku kifanya kampeni kwa sababu walimu wanawake wanaweza kupiga kura ya chuki.

Chadema tutalipia huo usafiri ni rupia ngapi?
 
Back
Top Bottom