The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,963
- 2,945
Ni diwani wa kata ya Mngeta wilayani Kilombero amechukua jukumu la kuwatoa kwa nguvu madereva wa malori yaliyokuwa yamezuiliwa na askari kwenye kizuizi cha barabarani.
Inatia uchungu sana kwa jinsi wakulima wanavyosota na shughuli za kilimo wengi wao wanatumikia hasara tu then wanatozwa 2500 kwa kila gunia afu mwenyekiti wa halmashauri anasema walipe tu.
Inatia uchungu sana kwa jinsi wakulima wanavyosota na shughuli za kilimo wengi wao wanatumikia hasara tu then wanatozwa 2500 kwa kila gunia afu mwenyekiti wa halmashauri anasema walipe tu.