diwani hana mshahara mnene ka afisa kilimo chukulia hod,ila ana perdiem ndefu mana nje ya wilaya anakula 80 per day,akiwa wilayani kwake 65 plus nauli,pia wamejiwekea utaratibu wa 'kuwanyanyasa' watumishi,ukiwa fisadi na miradi unaweza kutumia udiwani kupushi,ila ukiwa mwenzangu na mimi CDM unapigania watu kipato cha udiwani huwezi kulingana na afisa mpaka kustaafu