Diwani wa CHADEMA kata ya Nyamanoro Ilemela Mwanza bwana ABUBAKARI KAPERA,anatarajia kufikiswa mahakamani kutoka na tuhuma ya kumfungia ndani ya ofisi Mkurugenzi wa halimashauri ya manispaa ya Ilemela Mwanza.Itakumbukwa kwamba kutokana na mchezo mchafu wa CCM,na Mkuu wa Mkoa wa MWANZA Eng Ndikilo,kulitokea uchakachuzi wa kanuni za kukopa kutoka Almashauri ya Jiji la Mwanza na kupelekea diwani wa mahakama aliye fukuzwa na Chadema Henry Matata[diwani wa kichina] kutangazwa na CCM Kuwa ni Meya wa Ilemela kinyume na taratibu na kanuni,bahada ya Matata kutangazwa kuwa Meya aliamua kuwafukuza madiwani watatu wa Chadema Dani Kaungu diwani kata ya Kirumba,Marieta Chenyenge diwani kata ya Ilemela na Abubakari Kapera kata ya Nyamanoro,madiwni hao watatu waliamua kukata rufaa kwa Waziri Mkuu, waziri mkuu alituma barua za kuywarejeshea udiwani madiwani hao lakini mkuu wa mkoa wa Mwanza ENG Ndikilo alizikatalia barua hizo,kutokana na sintofahamuhiyo ilipelekea wananchi wa Mwanza kuandamana ili kumshinikiza Ndikilo kutoa barua hizo lakini kutokana na kiburi cha Ndikilo bado alizikatalia ndipo kakika kikakimoja wapo cha baraza la madiwani wa Ilemela,madiwani wa CHADEMA wakaamua kwenda halimashauri ya Ilemela na kwenda kumdai mkurugenzi majibu ya rufaa yao kwani ndiye muwakirishi wa waziri mkuu.