wild wolf traveller
Member
- Dec 9, 2016
- 11
- 12
Nyumba kaa godauni jamabi ramani hizi mbona ajabu
Mh hata sijui unataka kusema kapiga kwa nyuma?Hii picha imepigwa kwa mbele au nyuma??
Mm nilijua godauniHili jengo ndiyo lililo disign niwa Yael Perry nini!
Hilo jengo limekaa kama kiwanda cha kutengeneza Nuclear Bomb

Asante dada diva tumekuelewaiwe shapealess iwe ghorofa la mabati iwe hakuna ground floor ni ya kwake.
wengine humu wanaishi stoo chumba kimoja kitanda + ndoo za maji + vyombo + magunia ya mkaa + cup board na mibegi ya kusafiria vyote hivi ndani ya chumba kimoja cha futi 10 tu
siku zote mtu mwenye mafanikio ndio anaechukiwa check it out
keep in touch
Amazingaaah mwenzangu umeona eeh? mchora ramani katisha,lol sio kwa ramani ile



sasa kuhangaika na ghorofa uchwara ndo nini? c angejenga tu nyumba ya kawaida mfyuuu, nyumba inatisha



ina mapembe?Watasema mtumbaHahahahah we acha tu...yani jana usiku nimecheka mwnyw mpk nikapaliwa watu wa jf hawana jema hata ukinunua ndege utasemwa vibaya tu
Wengine eti administration blockHahaha na ramani zetu kama makanisa ya TAG

ayaAsante dada diva tumekuelewa
mbavu zangu lol
Haki watu wana-diss humu khaaaWengine eti administration block![]()
![]()
![]()