Diss Tracks: Rapcha vs Dizasta Vina

Hii diss unaionaje lakini? Bifu ni sehemu ya hiphop
Hii sio bifu ni changamsha genge kila sehemu ipo, genge halilali lazima kuchangamke huyu kampiga huyu spana life goes on akibeba title anaitwa mwingine hivyo hivyo kusipoe

PMawenge v Disasta Vina

Litakufa Jitu,
Nampa PMawenge wewe unampa nani?
 
Raptcha - Nyuklea Story anasema

99 wasiomjua huyu trash/
Jina lake la kwanza ni Pussy/
Ongeza na F.............

Airtime yote niliyokupa uki-flop/
Nakutia na makofi kwa F.... (Ineedtorelax)

๐Ÿ˜‚ Nimecheka KISENGEVINKISENGEVINA kumamamake yaan Raptcha huu mstari kamtikana vibaya Jamaa hii ni bomu

Bwana Disasta asipojibu itadhihirisha jinsi gani yeye ni Pussy who get facked by anybody,
 
Kunitaja sio ujasiri hiyo ni suicide #dizasta


 
Kunitaja sio ujasiri hiyo ni suicide #dizasta


Napiga chata kwenye wavu haha mimi ni Pele/
Baba Saka saka unachosaka uwahishe hilo tembele/
Jirani waya mkali wahi uone wanavyokula na kengele/

Na huyo ni nani ? Usiniambie ni yule muandishi wa part part part part

Search.......
 
Nakubaliana na wewe
 
Tunahitaji dissbtrack nyingi kama hizi uhai wa hip hop bongo urudi

Tumechoka kusikikiza mnanda, mchiriku, makelele ya kinigeria, na zile staili za uswazi.

Tunataka michano yenye akili na flows zinazonata na bit.
 
Dizasta Kajibu tena wakuu katupa Jiwe linaitwa TRIBULATIONS hatari unusu

Cc Moderator ninadirishie heading isomeke DIZASTA VS RAPCHA
Bora hii kajitahidi kuteleza na vina, na beat ime-settle

Raptch it's your turn now shusha vyuma jamaa kakuchana kachana chana mpaka mama yako na kizazi chake kwamba hukustahiri kuzaliwa angelipia mama yako atoe abortion usizaliwe kabisa na dada yako kampasukia humo dakika 11, this time yaan zoote katembea nazo tunahitaji bomu lingine mzee, hakuna kutupa taulo chini hapo na wewe mchane chane achanike
 
Dr Dre ft Snoop Dogg - Still

Nasikiliza beat hilo mda huu

02:30
 
Hii sio bifu ni changamsha genge kila sehemu ipo, genge halilali lazima kuchangamke huyu kampiga huyu spana life goes on akibeba title anaitwa mwingine hivyo hivyo kusipoe

PMawenge v Disasta Vina

Litakufa Jitu,
Nampa PMawenge wewe unampa nani?
p na vina ni ๐Ÿค
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ