Mwanaharamu ni nani?Ndio wenyewe mkuu,wamefunika kombe mwanaharamu apite.
Ulitakiwa uwaulize hapo hapoHivi Discount Centre ndo Home Shopping Centre au? kwani majuzi nimeingia nakutana na ofisi za Home Shopping Centre zimeandikwa Discount Centre ila kwa ndani bado kuna maandishi ya HSC!
What is That?
Nini kiliwakuta? walikuwa na madeni au walikuwa wakwepa kodi? so wakaona waje na discount centre au?
Rudi tenaUtwaulizaje wakati kwa muda huo sikuwa na swali na swali lilikuja baadaye nishaondoka