habari, naomba discussion ya mawazo yenu hasa watu wa fani za IT
Kuna umuhimu wa kujua programming languages nyingi (mf. C++,C, phython, perl) au kuwa na language moja ambayo utakua na ufanisi nayo?(mf. Kuwa na python tu, au C++ tu)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.