Kwani hadi sasa kuna mwenye mashaka kuwa hilo dirisha libetuliwa kwa makubaliano na wenye hoteli na Malima ili kufunika aibu?
Taarifa za awali zilisema kuwa wahudumu wa hoteli walisema Malima aliporudi usiku alikuwa na kimwana mweupe.... Hii ndiyo ilikuwa taarifa sahihi kuhusiana na wizi huu na ufuska wa Malima. Lakini hii sasa imezimwa, tumebakiwa na fabricated stori za oh alikuwa akiangalia tv.... usiku saa 10? , oh sijui nini. Arudishe tu hela zetu huyo *********, kisha aendelee na ufuska wake.
Ila nampongeza dada aliyemshikisha adabu huyo*******. Namwombea aanze nazo maisha viruzi, aache umalaya.
Mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe.......
Taarifa za awali zilisema kuwa wahudumu wa hoteli walisema Malima aliporudi usiku alikuwa na kimwana mweupe.... Hii ndiyo ilikuwa taarifa sahihi kuhusiana na wizi huu na ufuska wa Malima. Lakini hii sasa imezimwa, tumebakiwa na fabricated stori za oh alikuwa akiangalia tv.... usiku saa 10? , oh sijui nini. Arudishe tu hela zetu huyo *********, kisha aendelee na ufuska wake.
Ila nampongeza dada aliyemshikisha adabu huyo*******. Namwombea aanze nazo maisha viruzi, aache umalaya.
Mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe.......