Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 951
- 412
Yaani wamepunguza direct cost badala ya...196300/= imekuwa 169000/=
Maandalizi mema,,,,
Maandalizi mema,,,,
But mbona kwenye admission letter imeandikwa 232,100
Hiyoo nikwa mwaka 2,3....
kwa hyo wakuu kwa sis 2naoingia mwaka wa kwanza ndo imepngua au? mbona 2meandikiwa 232100
kwa hyo wakuu kwa sis 2naoingia mwaka wa kwanza ndo imepngua au? mbona 2meandikiwa 232100
Ungeangalia na pale kwenye first year brother imetoka kwenye 232100/= hadi 207500/=
Kwaio walo2tumia admin leter na fee structure n wajnga acha kupotosha