jaman naomba msaada kuhusu pande hizo mbili,,mimi nimehitimu shahada ya uhasibu,lkn kutokana na tatizo la ajira nimefikilia kwenda ualimu,,ualimu wa diploma masomo ya sayans wanatoa mkopo,ila tatizo ni miaka 2,ila nahis ajira yake ni uhakika,,lkn postgraduate diploma ada ni ndefu mil 3.5,ila mwaka ni mmoja na kuhusu ajira zake kwa mwaka huu inaonekana ni shida,,nishaurin nisome ipi?