Diploma ya clinical medicine ni miaka mingapi

Aran

New Member
Sep 17, 2021
4
4
Hivi diploma ya clinical medicine ni miaka mingapi kwa f 6

Pia kuadvance hadi degree ya MD Jumla ni miaka mingapi
 
Diploma in clinical medicine entry requirement ni matokeo ya form 4 tokeo la kidato cha sita is added advantage but not normally considered. Kuhusu miaka Ni miaka mitatu hapa bongo.

Then ukishagraduated utapata nafasi ya kujiunga na masomo ya elimu ya juu yani chuo kikuu kwa kozi ya MD kama GPA yako itakuruhusu maana nacte mitihani yao sio mchezo 😥 kuhusu miaka ni miaka mitano.

Almost jumla ni miaka 8 Kama Mungu atakuwa nawe maana kutokana na ufinyu wa nafasi kwa diploma hasa kwa kozi ya medicine chuo kikuu unaotokana na GPA.
 
Hivi diploma ya clinical medicine ni miaka mingapi kwa f 6

Pia kuadvance hadi degree ya MD Jumla ni miaka mingapi
Diploma ya CO ni miaka 3 haijalishi umetoka Form 6 au Form 4 ili mradi sifa za kusoma CO unazo ambazo ni purely from Olevel.

MD ni miaka 6 na gharama za kuisoma ni kubwa sana hasa kama hutopata chuo cha serikali.

Kwahiyo utatumia karibu milioni 30 kusoma tu CO to MD.

Kupata CO kwa vyuo vya serikali ni ngumu, let's say utasoma private ambao ada yao siyo chini ya 2M hivyo kwa miaka 3 utalipa zaidi ya 6M.

Then kwa MD vyuo vya private Ada ni zaidi ya 4M kwa mwaka, hivyo kwa miaka 5 itakuwa approximately zaidi ya 20M ( Ingawa hii unaweza kuisoma ukiwa inservice lakini bado ni gharama sana )

Angalia pia na umri wako
 
CO - 3 (Bila kupata Tatizo lolote la academic n.k)

MD - 5 (Bila kupata Tatizo lolote la academic n.k)

Ila, ili upige MD kwenye vyuo vya serikali.. UWE UMEFANYA KAZI at least 2 years. (Kwa Private Medical Schools HAIZINGATIWI SANA).

Therefore, A Minimum 8-10 years of hustling from an O-level certificate holder (maana a-level haijalishi) to a Qualified Medical Doctor (MD) through Clinical Officer (CO) is needed.

Usikate tamaa, pambana son.
 
Diploma ya CO ni miaka 3 haijalishi umetoka Form 6 au Form 4 ili mradi sifa za kusoma CO unazo ambazo ni purely from Olevel.

MD ni miaka 6 na gharama za kuisoma ni kubwa sana hasa kama hutopata chuo cha serikali.

Kwahiyo utatumia karibu milioni 30 kusoma tu CO to MD.

Kupata CO kwa vyuo vya serikali ni ngumu, let's say utasoma private ambao ada yao siyo chini ya 2M hivyo kwa miaka 3 utalipa zaidi ya 6M.

Then kwa MD vyuo vya private Ada ni zaidi ya 4M kwa mwaka, hivyo kwa miaka 5 itakuwa approximately zaidi ya 20M ( Ingawa hii unaweza kuisoma ukiwa inservice lakini bado ni gharama sana )

Angalia pia na umri wako
Md miaka 5 mzee then unaenda intern mwaka mmoja
 
Diploma ya CO ni miaka 3 haijalishi umetoka Form 6 au Form 4 ili mradi sifa za kusoma CO unazo ambazo ni purely from Olevel.

MD ni miaka 6 na gharama za kuisoma ni kubwa sana hasa kama hutopata chuo cha serikali.

Kwahiyo utatumia karibu milioni 30 kusoma tu CO to MD.

Kupata CO kwa vyuo vya serikali ni ngumu, let's say utasoma private ambao ada yao siyo chini ya 2M hivyo kwa miaka 3 utalipa zaidi ya 6M.

Then kwa MD vyuo vya private Ada ni zaidi ya 4M kwa mwaka, hivyo kwa miaka 5 itakuwa approximately zaidi ya 20M ( Ingawa hii unaweza kuisoma ukiwa inservice lakini bado ni gharama sana )

Angalia pia na umri wako
Akifika degree ataomba mkopo
 
CO - 3 (Bila kupata Tatizo lolote la academic n.k)

MD - 5 (Bila kupata Tatizo lolote la academic n.k)

Ila, ili upige MD kwenye vyuo vya serikali.. UWE UMEFANYA KAZI at least 2 years. (Kwa Private Medical Schools HAIZINGATIWI SANA).

Therefore, A Minimum 8-10 years of hustling from an O-level certificate holder (maana a-level haijalishi) to a Qualified Medical Doctor (MD) through Clinical Officer (CO) is needed.

Usikate tamaa, pambana son.
Mda mrefu sana
Unaweza ukamaliza kusoma ukawa mzee
 
Back
Top Bottom