Diploma teachers ni kilio cha wengi

BUMIJA

JF-Expert Member
Oct 19, 2011
5,818
11,001
Leo nimekutana na walimu tarajali wa5 wakasema hawajapangiwa vituo. Ni kwa nini Diploma wengi wameachwa na hasa waliosapua wote. Wanadai wataajiriwa wa7.Tatizo ni nini wadau.
 
Dah!wakati dip ndo ethics za kiualimu ndo zilipozaliwa....
Yatatoka tu kwa maana hakuna namna nyingine sasa
 
Au majina ya waliosapua hayajafika tamisemi. Na walioomba wameajiriwa sayansi na hisabati.Hivi kuna wa degree waliokosa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…