Wanajamvi kuna ndugu yangu ameniomba nimfanyie application za mkopo na chuo, yeye n muhitimu wa diploma mwaka huu, shida inakuja pale system ya kuomba mkopo inapohitaji aatach cheti ili hali bado havijatoka,he afanyeje na ameshalipia hela 30. Ishu nyingine ni kuomba chuo wao wanahitaji AVN shida inakuja pale ninaporequest AVN NACTE katika system ni lazima uapload cheti..je wahitimu wa diploma mwaka huu hawawezi kuomba bachelor?