Huyo ni wapili kuna mwingine nae alikuja na No yake ya form 4, hawa ndo wale waliokuja kisa selection za UD, tena kuna mwingine kule Facebook anatoa taarifa na kuweka reference eti kwa mujibu wa blogs za Jamii4ram kweli mwaka huu kazi ipo
Huyo ni wapili kuna mwingine nae alikuja na No yake ya form 4, hawa ndo wale waliokuja kisa selection za UD, tena kuna mwingine kule Facebook anatoa taarifa na kuweka reference eti kwa mujibu wa blogs za Jamii4ram kweli mwaka huu kazi ipo
Watanzania bana ndo maana hatutokaa tukaendelea,,jamaaa kauliza swali,,, eti wanaanza kuongelea user name yake, nyie hiyo inawahusu nn?hiyo hapo sitairi yake!jibuni uzi acha wenge!@jf inamambo!