Diploma Holders

Heri yako wewe hata nafasi ya chuo umepata,wengine nafasi za chuo tumekosa na vigezo tunavyo mkopo ndio kabisaaa ndoto. Haki ya nani digrii tutazisikia tu,Open nako TCU imeingilia kati uuuuh Mungu saidia.
 
Duuu polen sana diploma holders maan hii serikali imeamua kutowapa mikopo waombaji wote wenye sifa linganishi yaan equivalent qualification hii eti ndo serikali tuliyokuwa tunaitaka kwa awamu tatu nyuma!!!we miss you mjomba jk
 
Jitahidini kujisomesha japo kwa kujikongoja wapo wenzenu hali ni mbaya zaidi yenu kuweni makini na wapole Mheshimiwa yuko sahihi sana
Usahihi wake ukoo wap
Achaa nidham ya woga gwakukaja
Uyoo unaemsemaaa awe mpolee ungejuaa aliponziaa pakaa akaipataa iyoo nafas ya kuingiaa bachelor ungemuoneaa huruma
 
Acha ukengee boyaa we
Na usipopata kaz je
Ue unakaaa tu nyumban?
Watyu wanaomalizaa chuo n weng kuliko ajira zilizopoo af kilaa unapoguxaa mwajir anatakaa mtyu mwenye bachelor xaa unazan inakuajee apoo
 
Tukaze tu watu wangu,kama tulienda kusoma cheti na diploma ambayo ni miaka mitatu sawa na degree ,inaezekana tu,,,ishu. Ni kukaza tu,huyu mwanaharamu 2020 watakula jeuri yao
 
Hakikisha una app ya m-bet, meridian bila kusahau kusave bookmark mkekabet.com Hawa jamaa ni waaminifu sana Pesa yao haichelewi wala haina dodoso haina rufaa, haina priority
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…