mashishanga
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 611
- 429
Mie nashangaa ninachokiona profile zimerud kama mwanzo
Mkuu kama mimi yan sielewi elewi kitu kinachoendeleaMie nashangaa ninachokiona profile zimerud kama mwanzo
Mimi naona kama ni mpango kazi wa kuwapunguza wasomiAu 2.7, 2.8 na 2.9. Si lower second?
Mbona Mi Nmechaguliwa Nilikuwa Na GPA Ya 3.6 Nahisi Km Uko Below 3.5 Huwezi Chaguliwa
umechaguliwa wap mkuuMbona Mi Nmechaguliwa Nilikuwa Na GPA Ya 3.6 Nahisi Km Uko Below 3.5 Huwezi Chaguliwa
Acha uongo watu wana GPA za 4.6 na bado hawajachaguliwa seuze wewe ....!Mbona Mi Nmechaguliwa Nilikuwa Na GPA Ya 3.6 Nahisi Km Uko Below 3.5 Huwezi Chaguliwa