Swali lako mbona haliendani na what you quote? umeisoma vizuri quote?
Linaendana na mada.
Ziko dini zimesaidia sana katika juhudi za kuleta maendeleo katika nchi hii.
Baadhi ya dini zimeweza kujenga taasisi nyingi za msingi katika jamii, kama Shule, Vyuo, Viwanda, Hospitali, Barabara, Vyanzo vya Umeme, na kujumuisha wanachi katika kuboresha shughuli za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi, Ujenzi, nk.
Ziko dini zilizo dunisha maendeleo ya jamii kila zilipoweka kambi za kidini na kuifanya jamii zilizowakaribisha kiwa nyuma katika maendeleo.
Ziko baadhi ya dini wanaabudu usiku na haijulikani wanachokifanya kwa jamii inayowazunguka, kila kitu kwao ni siri siri.
Ziko dini zinazoongozwa na akina Nabii Tito. Kazi yake ni kuhimiza Ulevi, Uvivu, Uzinzi, Starehe nk.
Unaposema madhara ya dini inabidi uzitaje hizo dini na madhara yake katika jamii.
Na sio kujumlisha kila dini