Dini inanikosesha mke

Dini inanikosesha mke

Mimi ni kijana mwenye umri miaka ishirini na nane (28) nimetokea kumpenda binti dini ya kisilaam ni takribani miaka minne hivi sasa, amekuwa akishindwa kuniweka wazi kama ananipenda ingawa ingawa ukaribu wangu mimi na yeye ndani ya miaka hiyo minne umewaaminisha watu kuwa tupo kwenye mahusiano. Kutokana na hali hiyo nikamtangazia kumuoa lakini amekuwa akinikatalia ombi langu la kuolewa na mimi kisa tofauti ya dini, kuwa mimi ni mkiristo ingawa mpaka muda huu tayari nipo nae kwenye mahusiano ya kimapenzi. Tatizo nikimugusia swala la kumuoa yeye anaingiza kigezo cha dini, naombeni ushauri wenu? kweli binti nampenda na yeye ananipenda ila kosa hii dini inanikosesha mke.

Achana nae akaolewe mke wa nne na mzee wa miaka 80, mzee akimuona kwa mbali wakati anatoka masjid anapeleka mahali shughuli imeisha hainaga kuimbishana, mnakumbuka kile kisa cha yule binti alotoka nduki anagoma kuolewa na mzee ilirushwa itv live ilikuwa balaa.
 
Kuhusu kubadili nilimgusua, akasema kwa mwanaume si vizur kumfuata mwakamke, ingawa nilitaka kumjaribu tuone msimami wake

Kwa maelezo yako hapo juu, ni wazi kuwa huyo dada anatafuta namna ya kukufanya ushtuke kistaarabu bila kuambiwa kuwa hutakiwi, inawezekana.
 
We ingia kwa dini yake ukifanikiwa unarudi ulikotoka
 
Mgegede tu alafu piga chini kubadili dini nidhambi kubwa kwa sababu ya mke
 
Kuhusu kubadili nilimgusua, akasema kwa mwanaume si vizur kumfuata mwakamke, ingawa nilitaka kumjaribu tuone msimami wake
Unamfuataje mwanamke sasa, nani kiongozi katika hiyi familia, ina maana kama wewe utamfuata katika hilo basi kila kitu itabidi umfuatishe hata akigongwa nje akikwambia usilalamike itabidi umfuate, na hata akikuletea watoto ambao si wako pia inabidi umfuate.......

Jifunze kuwa mtoto wa kiume..... Mwanamke haruhusiwi kukupangia bali kukushauri na kusimama bega kwa bega na wewe nyakati zote sio kukupelekesha atakuwa na dharau kako.........
 
Mimi ni kijana mwenye umri miaka ishirini na nane 28, nimetokea kumpenda binti dini ya Kisilaam ni takribani miaka minne hivi sasa, amekuwa akishindwa kuniweka wazi kama ananipenda,ingawa ukaribu wangu mimi na yeye ndani ya miaka hiyo minne umewaaminisha watu kuwa tupo kwenye mahusiano.

Kutokana na hali hiyo nikamtangazia kumuoa lakini amekuwa akinikatalia ombi langu la kuolewa na mimi kisa tofauti ya dini, kuwa mimi ni mkiristo ingawa mpaka muda huu tayari nipo nae kwenye mahusiano ya kimapenzi.

Tatizo nikimugusia swala la kumuoa yeye anaingiza kigezo cha dini, naombeni ushauri wenu, kweli binti nampenda na yeye ananipenda ila kosa hii dini inanikosesha mke.



Ukristo gani huo wakati hujui ni nini Biblia inaelekeza kuhusu Mkristo kuolewa? Badili tu uwe Muislam....
 
Back
Top Bottom