huyo atakaezima mtandao nayeye atakuwa ameingia hasara, so hata mtandao halotel ukizimwa sisi tunaendelea na airtel, au kama mtandao wa youtube ukizimwa sisi tutaelea na tiktok, au wakiamua kuzima yote sisi watu wa mwanza tutakula ugali furu na maisha yatasonga tu.