Mahole
JF-Expert Member
- May 17, 2018
- 682
- 924
Hivi hizi tv za digital hasa hizi flat unatumia kifaa gani kupata fta bila king'amuzi ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
tv brandi gani, weka model yake, piga picha pale pa kuchomekea antenna then post hapanimeshauliza hili swali sipati jibu
Sent using Jamii Forums mobile app
nikwenye settelite au?tv brandi gani, weka model yake, piga picha pale pa kuchomekea antenna then post hapa
Sharp led 32"tv brandi gani, weka model yake, piga picha pale pa kuchomekea antenna then post hapa
Hivi naweza nikatumia waya mmoja kuuunga parallel kwa ajili ya dish ya azam na hiyo antena kule kwa nje?unaitaji antenna ya monopole dizaini hii apa
I just got $50 Coupons!
k/koo(karib na shule ya uhuru kama unaelekea m/moja upande wa kulia) pale zinapatikana kwa bei isiozidi 15,000, hii antenna ni ya ndani(indoor) kama upo eneo lenye signal nzuri, la kama haikamati utatumia antenna za star times(dipole) zile za kawaida ila itakubidi ubadili ile connector , yaani kale kadude kanakua mbele ya wire wa antenna kanakoungana na dekoda
utatoa kile utaweka hiki apa
50 x RF COAXIAL CONNECTOR MALE IEC TV AERIAL PLUG NICKLE COAX MAIL (ARIEL ARIAL) | eBay
k/koo pale kanauzwa buku
ako kataingia kwenye iyo port ya tv yako apo juu
then upande wapili ndo itaungwa na cable ya antenna ( inayoenda nje) ( kunaitaji kaujuzi kidogo kuunga iyo connector na cable )
ukimaliza iyo set up utaenda sehem ya setting kwenye tv, moja kwa moja mpaka sehem ya ku scan channel
1. auto scan, kutegemea na model inawezakupa options ya kuchagua nchi, kama tz haipo utachagua denmark au germany , kama kuna option ya dtv, atv na dtv+atv chagua iyo ya 'dtv+atv'
najua unajua cha kufanya apa kwenye channel search ila tu pay attention channel za tv ziwe zina range from 400MHz mpaka 800MHz (kwa tv)
na za redio from 80MHz mpaka 108MHz, ikiwa nje ya iyo range, chagua nchi nyingine
1. manual scan, hapa kuna option ya kuingiza frequency , utaanza na 400MHz, utasachi, then utaama kwa step ya 50, yaani itafata 450Mhz , 500MHz , nk mpaka 800
ukikamilisha utapata itv, eatv, nk, na zingine za nje kama arirang ya korea, nhk ya japan,
kumbuka kuleta mrejesho
Hivi naweza nikatumia waya mmoja kuuunga parallel kwa ajili ya dish ya azam na hiyo antena kule kwa nje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Namaanisha badala ya kutumia waya mbili nitumie waya mmoja ila kule juu niunge waya parallel yaan antena na dish ziikutane kwa nje kama Yiyo tv ina tuner kwa ndani, bila shaka ni dvb-t, haitafanya kazi kwa dish kama ndio lengo lako, iyo tuner inahendo frequency ndogo below 1000MHz ,
Niaje boss. Je una fundi anaeweza kunifanyia huo mchakato?unaitaji antenna ya monopole dizaini hii apa
I just got $50 Coupons!
k/koo(karib na shule ya uhuru kama unaelekea m/moja upande wa kulia) pale zinapatikana kwa bei isiozidi 15,000, hii antenna ni ya ndani(indoor) kama upo eneo lenye signal nzuri, la kama haikamati utatumia antenna za star times(dipole) zile za kawaida ila itakubidi ubadili ile connector , yaani kale kadude kanakua mbele ya wire wa antenna kanakoungana na dekoda
utatoa kile utaweka hiki apa
50 x RF COAXIAL CONNECTOR MALE IEC TV AERIAL PLUG NICKLE COAX MAIL (ARIEL ARIAL) | eBay
k/koo pale kanauzwa buku
ako kataingia kwenye iyo port ya tv yako apo juu
then upande wapili ndo itaungwa na cable ya antenna ( inayoenda nje) ( kunaitaji kaujuzi kidogo kuunga iyo connector na cable )
ukimaliza iyo set up utaenda sehem ya setting kwenye tv, moja kwa moja mpaka sehem ya ku scan channel
1. auto scan, kutegemea na model inawezakupa options ya kuchagua nchi, kama tz haipo utachagua denmark au germany , kama kuna option ya dtv, atv na dtv+atv chagua iyo ya 'dtv+atv'
najua unajua cha kufanya apa kwenye channel search ila tu pay attention channel za tv ziwe zina range from 400MHz mpaka 800MHz (kwa tv)
na za redio from 80MHz mpaka 108MHz, ikiwa nje ya iyo range, chagua nchi nyingine
1. manual scan, hapa kuna option ya kuingiza frequency , utaanza na 400MHz, utasachi, then utaama kwa step ya 50, yaani itafata 450Mhz , 500MHz , nk mpaka 800
ukikamilisha utapata itv, eatv, nk, na zingine za nje kama arirang ya korea, nhk ya japan,
kumbuka kuleta mrejesho
Uko wapi?Niaje boss. Je una fundi anaeweza kunifanyia huo mchakato?
Kinondoni
Hizo tofauti na zinazoongelewa hapaVipi zile za Startimes TV zenye king'amuzi ndani inawezekana kufanya huu udambidambwi?
Oooh sawa.