Ngoja nutajaribu maana nilifanikiwa kupata chaneli nyingi lakini hazioneshi. Moja tu ya startimes ya matangazo ndo ilioneshaMimi yangu nimeunganisha kawaida kwa antena, unechagua nchi kama mimi kwenye orodha kwa Afrika ni SA pekee, na nikaenda kusearch moja kwa moja nikazipata zikiwa HD kabisa. Au aina ya Tv yako pia mimi ni Tcl
Antenna lazima iwe nje?Mimi yangu nimeunganisha kawaida kwa antena, unechagua nchi kama mimi kwenye orodha kwa Afrika ni SA pekee, na nikaenda kusearch moja kwa moja nikazipata zikiwa HD kabisa. Au aina ya Tv yako pia mimi ni Tcl
apa inategemea na TV, nishawai kua na Haier tv , nilikua natumia antena ya ndani (monopole) na zilikamata channel za kutosha, nhk na arirang zikiwemoAntenna lazima iwe nje?
izi built in dikoda ziko za aina tofauti, manual ya tv yako lazima iandike kama ni ya dvb-t au dvb-s au dvb-c , nyingi hua ni za dvb-t1 au dvb-t2, terrestrial , apa nna maana utatumia antena ile ya ndani (monopole) kama hii Magnetic Mount Antenna-Hundu Electronic Co.,Ltd (Romtronic International Co., Limited) ( performance inategemea na brand ya tv ie; samsung, singsung,bush...) AU antenna ya nje ( dipole) zile za kawaida za star timesje vp kwa settelite dish kwakutumia king'amuzi built inidecoder, unafanyeje?
ahsante sanaaaa! kwahyo hizo tv built in ambazo zinasupport settelite dish nikampuni gani? LG au Samsung?izi built in dikoda ziko za aina tofauti, manual ya tv yako lazima iandike kama ni ya dvb-t au dvb-s au dvb-c , nyingi hua ni za dvb-t1 au dvb-t2, terrestrial , apa nna maana utatumia antena ile ya ndani (monopole) kama hii Magnetic Mount Antenna-Hundu Electronic Co.,Ltd (Romtronic International Co., Limited) ( performance inategemea na brand ya tv ie; samsung, singsung,bush...) AU antenna ya nje ( dipole) zile za kawaida za star times
Kutumia dish, lazima dikoda yako iwe ni ya dvb-s , s1 au s2