Digital cameras special thread

Emma Mnyama

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2017
Posts
201
Reaction score
183
Wajuzi wa digital camera watupe mawazo yao kuhusu
-camera nzuri kwa ( beginners) wanaoanza.
-camera za bei nafuu kwa still pictures na za video.
-Maujuzi kuhusu lens.
-Kuhusu kununua camera eBay na Amazon.
-Mahali zinapouzwa kwa hapa Tanzania.
-Jinsi ya kutumua camera.
-Vitu muhimu vya kuzingatia katika kutumia camera.
-Ujuzi wa kutumia camera kibiashara.
-Camera bora.
NK.
 
Kwa begginer tafuta canon 700D inauzwa kuanzia 900,000 -1,600,000 ,750D hii sijui bei yake ,800D sijui bei yake, lens kua nayo ambayo ni kit lens 18-55mm hii inakuja na kamera ,50mm inauzwa 250,000, na ya24 - 105mm hii ya mwisho ni ghali sana bei ni around $400-600 kwa used mpya inapanda zaidi
 
kwa proffessional duties.. a full frame camera ndio nzuri zaidi... watu wengi wanatumia canon 5d mark series.. kila sehemu uende i view, uende wcb, wapiga picha wakubwa wengi duniani hata ukitazama youtube utaona wanatumia canon 5d series..


nimesema series sababu hizo 5d zipo aina nyingi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…