manuu
JF-Expert Member
- Apr 23, 2009
- 4,064
- 10,722
Nina digital camera yangu aina tajwa hapo juu.Juzi nilitumia nikapiga kama picha 40 hivi baada ya hapo sijui ni wapi niliigusa mpaka nikashindwa kuona picha zote nilizokuwa nimezipiga na ikawa nikipiga picha 5 tu inanipa msg ya MEMORY FULL
wakati memory card ni ya 1GB.
Nimejaribu kuitoa na kuirudisha memory card bila mafanikio.
Je nini itaweza kuwa shida na kutakuwa na uwezekano wa kuzipata zile picha nilizokuwa nimezipiga.
wakati memory card ni ya 1GB.
Nimejaribu kuitoa na kuirudisha memory card bila mafanikio.
Je nini itaweza kuwa shida na kutakuwa na uwezekano wa kuzipata zile picha nilizokuwa nimezipiga.