Polisi ni huduma ya kiusalama (inapaswa kuwa police department) na katika nchi za walioendelea ndivyo ilivyo.
Jeshi ni chombo maalum kwa ulinzi wa mipaka ya nchi kwa maana ya kupambana na maadui wanaotishia amani au kuvamia nchi.
Kwa Tanzania jeshi linatakiwa kuwa moja Jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ), hawa wengine wanapaswa kuwa idara za kiusalama tu.
Sasa polisi inakuwa jeshi inapambana na nani?
Polisi kuwa jeshi inaleta ukakasi sana