tumia kila siku Asubuhi kabla ya kula kitu changanya pamoja kijiko kimoja cha Asali, Limao1, na Glasi 1ya Maji ya Moto/Uvuguvugu Tumia kwa muda wa miezi sita utaona mabadiliko yake kwanza kabla ya kutumia hizo dawa nenda kapime kwanza una kilo ngapi?mkuu Lyne
mkuu Lyne Tumia kama mwezi kisha uje hapa utupe Feedback umefikia wapi? Dawayangu hiyo haian Side Effect madhara kwa binadamu ina faida nyingi hebu bonyeza hap uone Faida ya Asali na Mdalasini https://www.jamiiforums.com/jf-doctor/103709-faida-ya-mdalasini-na-asali.htmlnashukuru sana kwa ushauri ngoja nipime uzito then nianze
nashukuru sana kwa ushauri ngoja nipime uzito then nianze
rafiki zangu nisaidieni
maandalizi mazuri hukupatia matokeo mazuri pia?? Kwa swala la asali ni pm nina asali original ajabu kabla hujalipa bei. Tutafanya test zote alizo bainisha mkuu mzizi mkavu kubaini asali ambayo haija chakachuliwa