Du simulizi hii imenigusa sana, hapa nimekosa kabisa amani. Kuna msichana nimekuwa nae zaidi ya miaka 3, akiwa kidato cha tatu alipata mimba kwasababu ya hofu ya kufukuzwa shule tukashauriana kuitoa. Baada ya mwaka akiwa kidato cha 4 akanasa mimba tena, vkamtafuta dr flani akautoa tena akarudi shule, baada ya wiki 1 akanipigia cm kunijulisha kuwa tumbo bado linauma na akipima mimba kipimo chaonesha bado ipo, ikabidi turudi tena kwa dr arudie tena. Baada ya kumaliza aliendelea na maumivu ya tumbo hadi akapona. Kwa jinsi alivyoteseka mara ya mwisho nilijiapia sita mwacha, sasa yeye kaniacha.