Diarra aongezewa mkataba mpya Yanga

Dalton elijah

JF-Expert Member
Jul 19, 2022
208
462
DIARRA BADO YUPO SANA: Klabu ya Yanga imetangaza kumwongezea mkataba golikipa wake Djigui Diarra na sasa- nyota huyo atasalia mitaa ya Jangwani mpaka msimu wa 2024/25.

Diarra alijiunga na Yanga mwanzoni mwa msimu wa 2021/2022 akitokea klabu ya Stade Malien ya Mali.

#YangaSC #Yanga
 
Back
Top Bottom