Diamond usipomsajili Lavalava sitokuelewa, WCB needs him!

Interest

JF-Expert Member
Apr 11, 2015
3,434
7,055
Katika pitapita zangu Youtube, nimemwona huyu chalii amefanya cover nzuri ya Je, Utanipenda nikamwelewa sana.

Kwanza ana sauti nzuri, ana mwonekano wa kisanii, anaonekana ni mpole na hana makuu..

Kusema ukweli nimeona cover mbalimbali za watu wakifanya ila huyu ameitendea haki haswa.. He's seriously serious..

Namshauri Diamond Platnumz wakati anafikiria kuongeza kichwa kipya ktk timu ya WCB, amfikirie huyu jamaa, japo tetesi zinasema ana mpango wa kumsajili msanii wa kike this time!

 
kuna siku nilichanganyikiwa nikiwa safarini walivo niuliza nikawajibu nimiss jf na siku ya 3 sijajua kinachoendelea nani kweli humu jf watu wenine waugwana sana
 
Tangu nimeanza kufuatilia bongo fleva...sijawahi ona cover nzuri zaidi ya Arosto...

Yule dogo ana kipaji kikuBWaa.. Sijui yuko wapi now.
 
Katika pitapita zangu Youtube, nimemwona huyu chalii amefanya cover nzuri ya Je, Utanipenda nikamwelewa sana.

Kwanza ana sauti nzuri, ana mwonekano wa kisanii, anaonekana ni mpole na hana makuu..

Kusema ukweli nimeona cover mbalimbali za watu wakifanya ila huyu ameitendea haki haswa.. He's seriously serious..

Namshauri Diamond Platnumz wakati anafikiria kuongeza kichwa kipya ktk timu ya WCB, amfikirie huyu jamaa, japo tetesi zinasema ana mpango wa kumsajili msanii wa kike this time!


We jamaa umetishaa
 
Back
Top Bottom