Diamond Trust Bank!!!!

Diamond Trust Bank!!!!

Mkuu Buchanagande kitaa siyo kabisa ndo maana tunakosa subra
 
hhaaaa kuwa na subra ukakutane na aptitude test ya ajabu ila wapo kimya kitambo kias kwamba ukipigiwa cm unaweza kataa huku apply.
 
Mbona mnanichanganya, eleza tatizo usaidiwe siyo kusema "hawasomeki", KIVIPI?
 
Hawa jamaa (wahindi) walikuwa wanazuga watu tu...
 
yaani kitambo kweli wapo kimnya, wadau vp na hawa TWIGA BANCORP Washaita watu kwenye interview?
 
Back
Top Bottom