We mwenyewe husomeki mkuu!
Hilo nalo neno nahisi nishaanza kusahau
Mbona mnanichanganya, eleza tatizo usaidiwe siyo kusema "hawasomeki", KIVIPI?
ha ha ha umeona eeh, mwezi sasa umepita.
Wakuu hawa DTB ni vp?mbona kawasomeki?
ctak kuwaskia kabisa hao watu...upendeleo live bila chenga
hhaaaa kuwa na subra ukakutane na aptitude test ya ajabu ila wapo kimya kitambo kias kwamba ukipigiwa cm unaweza kataa huku apply.
ctak kuwaskia kabisa hao watu...upendeleo live bila chenga